Makapuku Forum

Makapuku Forum

1961 - Carlos Valderrama anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Colombia, anasifika kwa nywele nyingi kama ilivyo kwa Fellaini leo.
1472796587898.jpg
1472796616504.jpg
1472796633703.jpg

Bonge LA fundi
........
 
Leo katika Historia:

Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Mimi Mwenyewe tukutane kesho.

Ijumaa Kareem.
Asante sana mkuu mussolin

Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990

Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
 
Asante sana mkuu mussolin

Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990

Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
Ahsante sana Mkuu
 
Asante sana mkuu mussolin

Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990

Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
1472797914916.jpg
1472797921005.jpg
1472797926727.jpg
1472797935779.jpg

Wanahistpria
........
 
Asante sana mkuu mussolin

Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990

Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
1472798212031.jpg
1472798216420.jpg
1472798220733.jpg
1472798230518.jpg
1472798237712.jpg

.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom