Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Nchi za kibishiLeo katika Historia:
1961 - Mkutano wa kwanza wa nchi zisizofungamana na upande wowote wafanyika huko Brussels, Ubelgiji.
Nchi za kibishiLeo katika Historia:
1961 - Mkutano wa kwanza wa nchi zisizofungamana na upande wowote wafanyika huko Brussels, Ubelgiji.
We kufa mwenyewe banaaa
I seeeeeeNaelewa baby.... Mi mwenyewe nakuzimia jinsi ulivyo tu
Nahisi anaweka chini ya uvunguDuh noma sana, kwan alikua anajua password yako ya acc ama ulikua unaweka hela ndani?
Gadafi nae kumbe wa zamanii1969 - Mapinduzi ya Kijeshi yanatokea Nchini Libya na kumuweka madarakani Kanali Muammar Gaddafi.
Nakupenda piaLovely idea.. Ndo mana nakupendaga sugar
Ndani tu ndugu yangu.. Kazifumania kwenye mfuko wa kanzu..Duh noma sana, kwan alikua anajua password yako ya acc ama ulikua unaweka hela ndani?
We usiniharibie ndoa jimena.. Ndoa yenyewe mbichi hiiAtakuwa anahonga
Hahaa... Hamna, kwanza naanzaje kuwa na vichenchede kwa mfano.. Wakat we umecover sector zote..Huyu lazma anaibiwa na vichenchede
Gullit virasta1962 - Ruud Gullit anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Uholanzi.
So sadMaskini Gaddaf walimmaliza
Alikuwa fundi kichiz.. Nahis sasa hiv anamalzia mpira wake espanyol1983 - Jose Antonio Reyes anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Arsenal na Sevilla.