Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watu
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................
 
Haahaaa nimecheka sana.
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
1472491735974.jpg
 
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell

Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini

In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
Shemejiiiiiiiii
Waenda wapi tena???
 
Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watu
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................

Kwa hiyo ki ufupi jf ita kuaga wewe

Nimeona kupotea kimya kimya siwatendei haki ndugu zangu pia sjitendei haki mie pia
 
So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum

Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma

Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real

Top ten is out!!!
Wahenga waliwahi kusema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.

Nichukue nafasi hii kukushukuru kwa time yako ya kushare vitu mbalimbali hapa Jukwaani, japo hatujuani lakini tumezoeana ndani ya muda mfupi kama ndugu.

Kila la heri katika majukumu yako mkuu, jina lako litaishi hapa KF kwa muda mrefu.

Goodbye the saddest word!! Celine Dion hakukosea. Goodbye Mkuu!!
 
Wahenga waliwahi kusema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.

Nichukue nafasi hii kukushukuru kwa time yako ya kushare vitu mbalimbali hapa Jukwaani, japo hatujuani lakini tumezoeana ndani ya muda mfupi kama ndugu.

Kila la heri katika majukumu yako mkuu, jina lako litaishi hapa KF kwa muda mrefu.

Goodbye the saddest word!! Celine Dion hakukosea. Goodbye Mkuu!!
Nime furahishwa sanaa the way mlikuwa mna appriciate nnavo vifanya hapa , mimi ntawa miss sana wakuu
Endelea na ule utaalam wako wa kupiga pande zote zote
Halaf Nlishndwa ku keep ahadi ya Nixon lakin uamuzi huu siku tegemea kama leo uta fanyika so
I hope uta fuatilia mwenye vizuri

Thts why nlijoin hapa, mkuu good by endelea kuwa mtu makini hvo hvo kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom