Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watuWatu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell
Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini
In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................