Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
....I meant wa KFSweetapple ni mwingine alinizinguaga kule MMU kipindi nimejoin tu JF akawa anadai eti nimemuibia ID yake...nikamuuliza Pie na Apple ni kitu kimoja? akakosa jibu..badae nikaja KF na Sweetiepie ni mwingine ambae ni mimi usije changanya hawa watu ndugu.
CC: Werrason mutu ya kongo maana naona ushasema Epopai hapo nimeelewa.


