Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kausha tu usimwambie mtuMlokole katika ubora wake
Kausha tu usimwambie mtuMlokole katika ubora wake
OhooooYeap
Wanafarijiana tu
Veepe imeingia?Namba 2!!![]()
Kwahiyo hata wakibehave wanapigwa tu ??Nooo nooo
Watoto wetu mama tuna walea kiafrika mweer!
Wanafarijiana tu
Mi nikiamua kutafuta faraja hapatatosha

Ni kwenye page 9000# mwanzoni mwanzoni nadhani sikumbuki, humu nimechanganywa leo.
Weka picha....I meant wa KF![]()
Mi pia nisingechapwa sijui ingekuajeKwanza pole
Then asili ya familia ynu nme ipenda ukiwa na mtu wazaz wake walikaa mda mrefu kuna posibility ya mtoto nae kukaa muda mrefu kwenye mahusiano
Then ndo maana umenielewa, wakati mama zetu hawakupigwa, wao pia wali behave vzuri sana
Hapo ukipigwa ni jmbo jingne
Hawezi kuleta utukutu. Anaanzaje kwa mfano??Namanisha kuoza sio kuzoea....yani dogo analeta utukutu unamkanya kwa maneno?! haiwezekani! atayazoea...unampa na stick mbili tatu huku unamwambia kosa lake na asirudie tena.
Wacha uhangaikeNa mimi ulvo kuja nka jua Aple ndo kaja
Mweer!!
Siwezi kutag inakuaje?Hukumtag sasa
EimenWe fumba macho uwombewe
Weka picha
Ni ya Kigambouni....nzuri hiyoooRas Kutani hii hii ya kimbiji??
And I real love that...![]()
![]()
![]()
![]()
Its like jlo katoka na dancer wake
![]()
![]()