Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hapo sasa kasheshe.Mpya hakuna ila vifurushi vya intaneti na maji yamepanda bei!
Kuelekea September 1 mbona tutaona mengi
Hapo sasa kasheshe.Mpya hakuna ila vifurushi vya intaneti na maji yamepanda bei!
Daah iko vizur hiyo mi wazazi wangu wameishi miaka 35 kifo tu ndo kimemchukua baba pia sikuwahi ona wanapigana wala kuzozana na mama. kwa upande mwengine Mwanamke hadi kupigwa ni kweli itakuwa ametibua sana hali ya hewaNi mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame pigana
Yet mama yangu sku wahi ona aki mprovoke baba pia
Na laani kitendo cha mwanaume kupiga mwanamke, lakin nna laani wanawake kufikiri wana immunity ya kuto pigwa na ku wa provoke wanaume, hapo uki chokoza kupigwa kwa kweli ni njia nzuri kabsa ya kuekana sawa
Na who??? I hope sio binamu maana nimeshaanza kusikia harufu ya blood



What about mfalme wa pop wacko jacko
Naona nimekonda ghafula hapa...aisee i need a vacationI told u
He wasnt gud for ur health![]()

Who cares????That's i UNDERSTAND YOU....ndo maana yangu hapo acha wivu
ushawaza mengine
Wazima...ulipotea sanaNdugu wazima humu???
PolisiKa nini???![]()
Nafanya huduma ya maombi kwa mutu moya moya, wewe unatakiwa ya usikuUsiokoke bwana...basi naomba unipeleke kanisa ulipopatia wokovu nahitaji nijikabidhi mikonon mwa bwana baada ya kupigwa chini na Quigley...niondoe hili gundu.
Asante. Yani mi toka huu uzi uanze tarehe 09 April hakuna hata mtu aliewahi kunikaribishaWelikamu
Yeeea!!![]()
![]()

Hapo sasa kasheshe.
Kuelekea September 1 mbona tutaona mengi
Kibuti kirahisi hivyo???....vitasa kwanzaKibuti![]()
![]()
![]()
![]()

Nakuogopa...Hata husemi kama unam........... Too
Nenda Syria pacha ukarelax kidogoNaona nimekonda ghafula hapa...aisee i need a vacation![]()
![]()
![]()

Wazima...ulipotea sana
As you know mi ni muelewa...Thats swt p
Nlijua lazna uta elewa tuu

EheeeHapiki yeye. Napika mimi
Weka picha