Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame pigana

Yet mama yangu sku wahi ona aki mprovoke baba pia

Na laani kitendo cha mwanaume kupiga mwanamke, lakin nna laani wanawake kufikiri wana immunity ya kuto pigwa na ku wa provoke wanaume, hapo uki chokoza kupigwa kwa kweli ni njia nzuri kabsa ya kuekana sawa
Daah iko vizur hiyo mi wazazi wangu wameishi miaka 35 kifo tu ndo kimemchukua baba pia sikuwahi ona wanapigana wala kuzozana na mama. kwa upande mwengine Mwanamke hadi kupigwa ni kweli itakuwa ametibua sana hali ya hewa
 
Weka picha
1472308776283.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom