YeapNi prove ulivookoka?
We kiboko sanaEwaaaa,
Basi mida hiyo mimi siku ndiyo inaanza.
Kidogo tuu, then unabembelezwa af unapigwa ile nyengine![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mi siwezi

Kwanza poleDaah iko vizur hiyo mi wazazi wangu wameishi miaka 35 kifo tu ndo kimemchukua baba pia sikuwahi ona wanapigana wala kuzozana na mama. kwa upande mwengine Mwanamke hadi kupigwa ni kweli itakuwa ametibua sana hali ya hewa
LeggoooNaona nimekonda ghafula hapa...aisee i need a vacation![]()
![]()
![]()
Unashangaa nini???Khaaa![]()
I kno ya girlAs you know mi ni muelewa...![]()
Le super wife

Kitu inaambiwa lilaksNi prove ulivookoka?
How comes ur soo.....Mtoto bila kumpiga hata mara moja moja akikosea atakuozea.

Las kutani kutanifaa sanaLeggooo
Nachek mech uki nachatTatizo nini leo binamu mbona unachapia sana??
Mlokole katika ubora wakeKidogo tuu, then unabembelezwa af unapigwa ile nyengine![]()
cc: JimenaKwanza pole
Then asili ya familia ynu nme ipenda ukiwa na mtu wazaz wake walikaa mda mrefu kuna posibility ya mtoto nae kukaa muda mrefu kwenye mahusiano
Then ndo maana umenielewa, wakati mama zetu hawakupigwa, wao pia wali behave vzuri sana
Hapo ukipigwa ni jmbo jingne
Nooo noooThat was 19kweusi na sasa ni 2016
Mi ndo nme kuja after nyieLini?? Basi sikuona hiyo post au nimesahau??
Mwambie arudie basi