Makapuku Forum

Science of our friends

.............
 
FIX ZA BITOZ:
Enzi hizo nikiwa standard three Mabibo Beach Primary School nikirokea Chokambaya family na masela kibao tulikuwa tunadharaulika (si mnajua akili za kiroto)......basi kuna kidemu kinatokea Uzunguni full nyodo na kina maringo zaidi ya 7 ,full mashauzi,kinajifanya karembo na kasafi class zima kila siku uniform inang'aa imepigwa pasi na class hakafagii ole wako ukaguse

Sasa one dei tukiwa kwenye ule wimbo wetu wa "stand up sit down X 2,we are X 3,.stand up sit down"...... Si ile tunanyanyuka sketi yake ikamvuka na kubaki na chupi lake chafu lenye matobo kibao utafikiri imeng'atwa na panya....ikawa bonge la soo kumbe yy ni msafi wa maonyesho tu
Tangu siku hiyo alipunguza nyodo

***************""""
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…