Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ili???Aaaah
Nme wauliza tuuu

Ili???Aaaah
Nme wauliza tuuu

R.I.P TupacView attachment 385433
Muda mchache kabla hawajamfanyizia....
Mauaji Jimena anaogopa yalitishaView attachment 385434
............
Huyu lazma utakuwa na ubia nae...mbona namuona sana huyu...




Huwa sijaribiwiMaslahi mbele. Na ukicheza na maslahi yao wanakatisha uhai wako.
Unashtuka nini si unajidai mjanja...

Hata km ni bikra kazeeka na adaiwa kwa kufukia talanta na wakati alipewa azalishe faida

Pia kuna wengine wanaamini hajafa.Na kuna wanaodai ati kauawa na Freemanson..., maana mwishoni alikuwa hatii tena sheria zao alikuwa anawaexpose sana wakati wale ni "Secret society" gusa unase ukiingia hutoki labda wakuue...maana teyari unakuwa umeshatoa kiapo cha damu na roho kwa ku bind na sheria zao kuwa pet wao kufanya lolote wanalokuagiza...ila jamaa dakika za mwisho alikuwa anawa expose kidizain ile mbaya kwenye mahojiano yake mbalimbali.
Mzee chuga upo pande zipi?Hata km ni bikra kazeeka na adaiwa kwa kufukia talanta na wakati alipewa azalishe faida![]()
Tena haraka sana hawachelewiMaslahi mbele. Na ukicheza na maslahi yao wanakatisha uhai wako.
Siku moja hebu tupeni hiyo kwa urefuLyndon B. Johnson kwa kiasi kikubwa sana anapewa shutuma za kumuua JFK na inasemekana alimfanyia faulo za wazi hata RFK asiingie kwenye sytem kwani mambo yangejulikana.
Alaa kumbe, inaonekana unajua mengi.Aaah balali kafa
R I P
Nadhani lee wali andaa naye mauaji lakinRipoti ya Jaji Warren ilikuwa ni ya kupikwa tu.
Eti wakahitimisha kuwa muuaji wa JFK ni Lee Harvey Oswald peke yake.
Mpaka kesho sijawahi kuamini. Kuna nadharia nyingine inasema Bosi wa FBI nae alihusika.
Na bado......
Arusha moshi road mkuuMzee chuga upo pande zipi?
AaahIs this you? Yap u look good...kidogo ifikie nilichokuwa nawaza!! Nilitegemea sana uwe mzuri zaidi ya hapo.![]()
Kauliwa na kina biggie ndio maana wakamlipia kisasiMpaka leo muuaji wa tupac hajulikani.
Nadharia ni nyingi kuliko Uhalisia.
Kuna wanaodai kauliw na akina Biggie.
Kuna wanaodai kauliwa na akina Vyombo vya usalama.
na Kuna wanaodai kauliwa na Suge Knight.
Zote hizo ni nadharia tata na hazina majibu sahihi.
Wewe_!!!!!Hapo sawa