Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mzae muongezekeHata km ni bikra kazeeka na adaiwa kwa kufukia talanta na wakati alipewa azalishe faida![]()
Mzae muongezekeHata km ni bikra kazeeka na adaiwa kwa kufukia talanta na wakati alipewa azalishe faida![]()
Sawa, Lyndon B. Johnson ( LBJ ) alikuwa ni makamu wa Rais wa John F. Kennedy ( JFK ).Siku moja hebu tupeni hiyo kwa urefu
Ndio...kwamba yuko somewea visiwani kajichimbia. Ila mama yake afariki asi attend hata msiba inawezekana kweli...Pia kuna wengine wanaamini hajafa.
Jina lake litaishi sana.
? daahWeka pichaTunywee supu
Uko very informedNa kuna wanaodai ati kauawa na Freemanson..., maana mwishoni alikuwa hatii tena sheria zao alikuwa anawaexpose sana wakati wale ni "Secret society" gusa unase ukiingia hutoki labda wakuue...maana teyari unakuwa umeshatoa kiapo cha damu na roho kwa ku bind na sheria zao kuwa pet wao kufanya lolote wanalokuagiza...ila jamaa dakika za mwisho alikuwa anawa expose kidizain ile mbaya kwenye mahojiano yake mbalimbali.
Nimezidi nini kiongozi wangu?Aaah
Mwache bhana umezid sas na wew
Hauna hata nyamaAaaah
Huo ubwabwa atareee
AaahIli???![]()
Lile babu Tengutengu mbona lipuuzi halichoki kuja kukuzinguaNa bado......
Huu mchezo hauhitaji hasira
Kama tunapewa mambo nusu nusu hivi eeh?Siku moja hebu tupeni hiyo kwa urefu
OhooooUnashtuka nini si unajidai mjanja...![]()
Na hawezi Sema chochoteNadhani lee wali andaa naye mauaji lakin
Wakamgeuka kumfanya awe scapegoat
Mwishon ndo atakuwa alijua kiwa amekuwa abandoned
Umeona eee, acha niendelee kufyatua japo ctaki elimu ya bure ya magu bali natii agizo..mkazae mkaongezeke na kuijaza duniaMzae muongezeke
Tusilipe promoAaah
Mwache bhana umezid sas na wew
Kweli alifariki uyuNdio...kwamba yuko somewea visiwani kajichimbia. Ila mama yake afariki asi attend hata msiba inawezekana kweli...? daah
DahaaaaSawa, Lyndon B. Johnson ( LBJ ) alikuwa ni makamu wa Rais wa John F. Kennedy ( JFK ).
Inaaminika alimfanyia faulo ya kumuua JFK ili apate Urais.
Tutaleta uhondo siku moja.
Ha ha hili jibu sasaAaah balali kafa
R I P
Swt p nlijibu nikijua una muongelea JFK so nmekoseaUko very informed
Si wezi kusema freemason ila kuna wale ma don walo shikilia nchi ndo alijifanya ana wapinga
Sasa we mtu aligombana na CIA, FBI na financial moguls woote
Ki ujumla alibaki hana mtetezi
Lee alimjua aliyempa misheni. Katika uhalisia wa kawaida, Lee alihaidiwa angelindwa. Lakini kumuua Rais sio jambo la kawaida, hivyo kwa maslahi ya Taifa, lazima Lee angeuwawa tu maana hata kama angefichwa na kulindwa iko siku tu angeropoka.Nadhani lee wali andaa naye mauaji lakin
Wakamgeuka kumfanya awe scapegoat
Mwishon ndo atakuwa alijua kiwa amekuwa abandoned
Dada usiniangushe, unaposikia wanasema jina litaishi, means hatasahaulikaNdio...kwamba yuko somewea visiwani kajichimbia. Ila mama yake afariki asi attend hata msiba inawezekana kweli...? daah