Makapuku Forum

Makapuku Forum

Weka picha
1471807361455.jpg

Hapo vipi??
 

Japo hiyo wana iitaga conapiracy ila mimi ki ukweli nlishawishika mweer!!

Hata ike ripot ya tume ya Warrren sku iamini
Ripoti ya Jaji Warren ilikuwa ni ya kupikwa tu.

Eti wakahitimisha kuwa muuaji wa JFK ni Lee Harvey Oswald peke yake.

Mpaka kesho sijawahi kuamini. Kuna nadharia nyingine inasema Bosi wa FBI nae alihusika.
 
Mpaka leo muuaji wa tupac hajulikani.

Nadharia ni nyingi kuliko Uhalisia.

Kuna wanaodai kauliw na akina Biggie.

Kuna wanaodai kauliwa na akina Vyombo vya usalama.

na Kuna wanaodai kauliwa na Suge Knight.

Zote hizo ni nadharia tata na hazina majibu sahihi.
1471807405082.jpg

Muda mchache kabla hawajamfanyizia....

Mauaji Jimena anaogopa yalitisha
1471807456717.jpg

............
 
Mpaka leo muuaji wa tupac hajulikani.

Nadharia ni nyingi kuliko Uhalisia.

Kuna wanaodai kauliw na akina Biggie.

Kuna wanaodai kauliwa na akina Vyombo vya usalama.

na Kuna wanaodai kauliwa na Suge Knight.

Zote hizo ni nadharia tata na hazina majibu sahihi.
Na kuna wanaodai ati kauawa na Freemanson..., maana mwishoni alikuwa hatii tena sheria zao alikuwa anawaexpose sana wakati wale ni "Secret society" gusa unase ukiingia hutoki labda wakuue...maana teyari unakuwa umeshatoa kiapo cha damu na roho kwa ku bind na sheria zao kuwa pet wao kufanya lolote wanalokuagiza...ila jamaa dakika za mwisho alikuwa anawa expose kidizain ile mbaya kwenye mahojiano yake mbalimbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom