Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwani hizo MB mnanunua ili mfanyie nini?
1471806987296.jpg

Ili mpikie ubwabwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.........
 
Lyndon B. Johnson kwa kiasi kikubwa sana anapewa shutuma za kumuua JFK na inasemekana alimfanyia faulo za wazi hata RFK asiingie kwenye sytem kwani mambo yangejulikana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Japo hiyo wana iitaga conapiracy ila mimi ki ukweli nlishawishika mweer!!

Hata ile ripot ya tume ya Warrren sku iamini
 
Back
Top Bottom