Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Binamu hajambo...nashukuru niko vema nna amani tele sasa, japo kulikuwa na itilafu kwenye suala la urithi kidogoNashukuru niko poa, binamu hajambo?
Binamu hajambo...nashukuru niko vema nna amani tele sasa, japo kulikuwa na itilafu kwenye suala la urithi kidogoNashukuru niko poa, binamu hajambo?
Nlikwambia haooAaah hata kama hapo sasa naweka picha ya nini jamani...![]()
AsantePoleee
Cc bitozKwani hizo MB mnanunua ili mfanyie nini?
OhoooooKumbe ulifurahi eee, hapa haachwi ntu

Hiyo salamu tu wala isikutishe...Msha anza tena

AaaahKwani we unatakaje??
Maandalizi ya UKUTA vp huko?![]()
![]()
![]()
Rudiii
Lyndon B. Johnson kwa kiasi kikubwa sana anapewa shutuma za kumuua JFK na inasemekana alimfanyia faulo za wazi hata RFK asiingie kwenye sytem kwani mambo yangejulikana.Yes
Ila kuna moja nliicheki ya LBJ kumuua JFK
Hahahaa
Kama walinishawishi hvi
Huyu Kafa kweliYa 2pac je
Kwani hizo MB mnanunua ili mfanyie nini?
Hiyo salamu tu wala isikutishe...![]()

HahahaaMaandalizi ya UKUTA vp huko?
Mpaka leo muuaji wa tupac hajulikani.Ya 2pac je
Aaah hata kama hapo sasa naweka picha ya nini jamani...![]()
Lyndon B. Johnson kwa kiasi kikubwa sana anapewa shutuma za kumuua JFK na inasemekana alimfanyia faulo za wazi hata RFK asiingie kwenye sytem kwani mambo yangejulikana.