Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Kumsumbua jimenaNimezidi nini kiongozi wangu?
Kumsumbua jimenaNimezidi nini kiongozi wangu?
Hili ni jibu ambalo sijategemea kukutana nalo kutoka kwako.Arusha moshi road mkuu
Usifanye mchezo na system, mfano hai ni JumbeNdio...kwamba yuko somewea visiwani kajichimbia. Ila mama yake afariki asi attend hata msiba inawezekana kweli...? daah
AaaahLile babu Tengutengu mbona lipuuzi halichoki kuja kukuzingua
Nahisi linaharisha
...................
Unajua kwanini...unampendelea yuleOhoooo
Yamekuwa hayo tena!!!
Kakwambia namsumbua?Kumsumbua jimena
R I P TupacView attachment 385433
Muda mchache kabla hawajamfanyizia....
Mauaji Jimena anaogopa yalitishaView attachment 385434
............
Haaaahaaaa, bitoz umetishaLile babu Tengutengu mbona lipuuzi halichoki kuja kukuzingua
Nahisi linaharisha
...................
Lets conclude, Tupac alishakufa. Sema mazingira ya kifo chake ndio utata mtupu.Ndio...kwamba yuko somewea visiwani kajichimbia. Ila mama yake afariki asi attend hata msiba inawezekana kweli...? daah
Maana umetii amri ya andiko tayar new born yuko duniani..Umeona eee, acha niendelee kufyatua japo ctaki elimu ya bure ya magu bali natii agizo..mkazae mkaongezeke na kuijaza dunia



Weka picha
TumkaushieAaaah
Kwa kweli ana boa sasa
Nawe usininyime uzaoMaana umetii amri ya andiko tayar new born yuko duniani..
Hamna namna nyingine ni kufyatua tu...![]()

Usijari...Swt p nlijibu nikijua una muongelea JFK so nmekosea

Ndio....hasauliki yuleDada usiniangushe, unaposikia wanasema jina litaishi, means hatasahaulika
Hakuwa MasonsNa kuna wanaodai ati kauawa na Freemanson..., maana mwishoni alikuwa hatii tena sheria zao alikuwa anawaexpose sana wakati wale ni "Secret society" gusa unase ukiingia hutoki labda wakuue...maana teyari unakuwa umeshatoa kiapo cha damu na roho kwa ku bind na sheria zao kuwa pet wao kufanya lolote wanalokuagiza...ila jamaa dakika za mwisho alikuwa anawa expose kidizain ile mbaya kwenye mahojiano yake mbalimbali.
Hebu mueke wa kwako ambae nae ni bikiraHuyo shangazi yako tumemchoka
![]()
![]()
![]()
..........