willy fredy
Member
- Mar 3, 2016
- 53
- 125
Aaargh sasa mbona itakua league hii...basi acha akitokea single yoyote apewe taarfa zangu jamani...Muwahi kumtag ili akiingia tu unae maana hata manuu anamhitaji.

Aaargh sasa mbona itakua league hii...basi acha akitokea single yoyote apewe taarfa zangu jamani...Muwahi kumtag ili akiingia tu unae maana hata manuu anamhitaji.

Yale masharti ya kule utafikiri unaomba kaziKule masharti mengi
Imeshuka au imepanda!?Eti nasikia bei ya sukari imeshuka
Nataka iwe Jeroeti nasikia kilo 800 sijui
i told ya! big... is back in townBaelezeeeeeeeeee.......... Ila yangu ni perfecto!
Wapi tena huko jamani?Yale masharti ya kule utafikiri unaomba kazi
Ndomana watu kutwa kupost vikombe vya chai...eti nasikia kilo 800 sijui
itabidi iwe hivyo maana hamna namnaNataka iwe Jero
Oh yeahhh......... Nimekubali kuwa bigi told ya! big... is back in town
is back in townKaribu bibiWe kapuku, ndiyo nini hicho?
Duh! Mbona hatari.Huyu hapa mkuu. Pole kwa kusubiri
Kwa maana hiyo reja reja ni 3000 kwa kilo? Kazi ipoImeshuka au imepanda!?
Kwa hapa Mwanza kilo 50 ina 100,000 kwa bei ya jumla.
Umeonaeeh???....mara unaulizwa una jipu? ....una vogi?....una siks pak???....una apatmenti???....hau mach du yu en pa dei???....a yu hensam???....mara a yu siksi fit tolu???Yale masharti ya kule utafikiri unaomba kazi

ahsante dada lakini hujanitambulisha shemeji ujueNdomana watu kutwa kupost vikombe vya chai...
Kabla sijasahau hongera sana naona umeamua kumleta wifi
Love conectWapi tena huko jamani?
Karibu
Hapa ni sehemu ya upendo
Hatuhitaji vurugu
![]()
![]()
![]()
.................
Achana nae, ameshaondoka tayari.Karibu
Hapa ni sehemu ya upendo
.................
Wakati mtu huyo huyo huko anakoishi ameshindwa kupata hata wa kumsalimia sembuse hao wenye six pak, sasa mi naona heri wangekuwa wanaweka picha zao tuwaone, utasikia awe ameajiriwa lakini sio mwalimu wa shule ya msingi lol......Umeonaeeh???....mara unaulizwa una jipu? ....una vogi?....una siks pak???....una apatmenti???....hau mach du yu en pa dei???....a yu hensam???....mara a yu siksi fit tolu???![]()
By ze weyi sijawahi kutafuta kupitia huko.Love conect