lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Nnesahau![]()
![]()

Nnesahau![]()
![]()

Kule masharti mengiNenda love connect utawapata wengi
duh .. ongea taratibu mkuu hapa kuna watu wengi ujue ...nakuona unatumia nguvu nyiiingi kunipondea lakini ndo hivyo mtoto keshanidondokea, nacheka kwa dharau, teh kama dame
Nitakufatutia Faizafoxy nadhani mtamatchMambo yaku gandana mimi siyawezi... Ngoja tu niwe msindikizaji na muangalizi...

Just relax tuKule masharti mengi
Ndo nini vilee??Nehi
Hahahahaaaaaa... Shekhe Mimi nawatakia mema ...ndo mana nasimamia hii show mpaka nione mwisho... Mulize young

Dedication: Hakunaga by Suma leeUsije mweka kwapani tu maana hamchelewi nyie
Humtaki mama la mama???
Dooh!
Th name umesikia

Vijembe ruksaNashukuru hizi taratbu nyingine nazifaham nimejarbu kupitia kwa muda nilioingia hapa ndani