shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mpaka hapo amekosa sifa haaaahaaaaWee Jonax mbona unanilingishia mabasi akati mimi sitaki vitu nataka mtu.
Mpaka hapo amekosa sifa haaaahaaaaWee Jonax mbona unanilingishia mabasi akati mimi sitaki vitu nataka mtu.
Kwa hyo unasemaje sasa?Miraba mi4!! hahahaa
Ameshajiharibia.Mpaka hapo amekosa sifa haaaahaaaa
Umekuja na gia mbaya..umenilingishia mabasi basi tena.Kwa hyo unasemaje sasa?View attachment 383743
Mtu niko hapa na hizo mali ni kwa ajili ya kukuletea furaha pale nitakapoishi na wewe.Wee Jonax mbona unanilingishia mabasi akati mimi sitaki vitu nataka mtu.
Mkuu Mussolin 5 Jonax nae ni team picha maana ni mjuzi sana wa kuongea kwa picha...Mtu niko hapa na hizo mali ni kwa ajili ya kukuletea furaha pale nitakapoishi na wewe.
Nmeshamwambia mpaka babu yangu kasema nkulete akuoneView attachment 383744


Kazi ipoMtu niko hapa na hizo mali ni kwa ajili ya kukuletea furaha pale nitakapoishi na wewe.
Nmeshamwambia mpaka babu yangu kasema nkulete akuoneView attachment 383744
Sihakuringishia.. bali nmekuwa muwazi kabisa...Umekuja na gia mbaya..umenilingishia mabasi basi tena.
Nmeshamwambia bibi na amefurahia sana ujio wako maishani mwanguMkuu Mussolin 5 Jonax nae ni team picha maana ni mjuzi sana wa kuongea kwa picha...![]()
siumeona cheko hiloKazi nnayo...changa la macho mchana kweupeeeee, haya City boy zinaenda Mwanza hizo??Sihakuringishia.. bali nmekuwa muwazi kabisa...
Nmesema vile ili kuondelee wasiwasi ili siku za mbeleni usije ukahoji au kupata mashaka.
Kwanza siunaina jina langu ndo nalitumia hilo hilo kwenye kampuni yangu






Nmeshamwambia bibi na amefurahia sana ujio wako maishani mwanguView attachment 383745siumeona cheko hilo







Embu bibie sema neno nione kama umekubali au lah?
Usijali hata kama hazina trip ya Mwanza ila nko radhi gar ichange route naikupeleke Mwanza ukiwa peke yako tu wewe na dereva tuKazi nnayo...changa la macho mchana kweupeeeee, haya City boy zinaenda Mwanza hizo??![]()
Zikitoka wapi SasaKazi nnayo...changa la macho mchana kweupeeeee, haya City boy zinaenda Mwanza hizo??![]()
Haha kwenye misosi huwa unakaza sio?.. Yap niko na avatar mpya bana(avatar pendwa)ila kwenye msosi gentlemen ndo first
Ni guda sanaaa Briz, naona uko na avatar mpya?

