Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ:
Kifo cha aliyewahi kuwa Karibu Mkuu wa Chama Cha Mazoba (CCM) Marehemu Horace Kolimba ni miongoni vya vifo tata zaidi Bongoland...

Hatari Horace Kolimba siku chache kabla ya maahibu alitamka kwamba Chama Cha Majipu kimepoteza mwelekeo...kauli ambayo haikuwapendeza wakubwa wake

Aliitwa kule kwenye Ukumbi maarufu wa Mshamba uitwao Chimwaga kuhojiwa starehe 13/3/1997 ambapo inadaiwa alisekewa sumu kwenye MIC...wakati wa kujieleza ghafla anaanza kujisikia vibaya zen kutema kabisa uhai.....kweli Polifix is dangerous hadi leo ukweli umefichwa zimebaki fix tu
R.I.P Horace Kolimba
1471460854672.jpg
1471460859562.jpg

*********************************
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom