Hii werrason lazima aulizeNumber 1 9/11 flights-waliofariki 1700-2000 View attachment 383431
Hili ni shambulio la kigaidi lilitokea huko marekani mwaka 2001, so lina julikana mpaka lina boa, kwa hiyo ni kuwa hii ndo ajali kubwa ilo husisha ndege kuwahi kutokea
Kama hulijui kwa kweli ntakushangaa
HahahaHawa walitaka kwenda kuua wenye haki.
Asante sana kwa 10 kubwaDuuu
Jaman kumi kubwa zsha isha thanks
Szczesny Carrenza hapa
Senks CarenzaNumber 1 9/11 flights-waliofariki 1700-2000 View attachment 383431
Hili ni shambulio la kigaidi lilitokea huko marekani mwaka 2001, so lina julikana mpaka lina boa, kwa hiyo ni kuwa hii ndo ajali kubwa ilo husisha ndege kuwahi kutokea
Kama hulijui kwa kweli ntakushangaa
Em nikumbushe swali, nimswalikeHii werrason lazima aulize

Asante sana szczesnyDuuu
Jaman kumi kubwa zsha isha thanks
Szczesny Carrenza hapa
Nini kilisababisha mpaka kwenda kugonga majengo pacha?Em nikumbushe swali, nimswalike![]()
Tumeshakoma tayariNkiludi mtanikoma!
Kuna kitu walifanyiwaSasa Walilipua ndege kwanini jamani, mbona wanaua watu wasio na hatia![]()
Ngoja akija huku atakuambia kama ni joto ama baridiUongooo
Mwezi wa nane hilo ni joto kabsaa
....illuminateNini kilisababisha mpaka kwenda kugonga majengo pacha?
Nimetisha,Post #85555
![]()
Weka pichaEm nikumbushe swali, nimswalike![]()
Utamsimulia wapi?Kuna kitu walifanyiwa
Nkipata tym ntakusmulia
HahahaDuh! Kuna watu walilipa nauli ya fuso nini!!! Mbona walikaa kwenye mizigo?
Maana yake ataipata ya 86kPost #85555
![]()
HahahaaNa alisema usipofahamu kiingereza anarudisha pesa yako..yulr jamaa bhaana![]()