Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mmmh hizi sasa ni fix
Hivi jamani kati ya Man United na Arsenal nani alikuwa wa ovyo zaidi kipindi kilichopita? Maana kwa kumbukumbu zangu ni 2004 ndio mara ya mwisho kwa vijana na wenger kutwa ubingwa wa maana
Wanatambia kushiriki + kusindikiza UEFA kila msimu

.............
 
Bila ni kazi bure
1470660574393.jpg

Visikio at Manchester
..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom