Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Inafika kipindi mtu anaenda chooni kukata gogo basi analala huko japo kwa robo saa pamoja na harufu ya chooni lakini watu hawajali.
Mi sipendi vilugha.... Yani asijisumbue kabisaInawezekana anampango wa kukutumia mwalimu wa kisukuma
Yuko wakongwe huko
Uttalaje Jimena wa Szczesny!!?

We koma!Kumbe??? Mi nakuachia yule mpya humu
Niliwah kuona picha za kina halima mdee na zito kipindi kile wameenda jeshi ni noma sana, walikua wanaonekana vichwa tu na miili ka ya watotoSana Mkuu JJ.
Baada ya kumaliza tu doso, watu walipiga picha yaani ni vituko.
kama makatuni.
Pouwa, NakuonaMambo niaje Papaa
We Dikteta uchwara kambale wameingiaje kwenye hii madaDuuh...bitoz huwezi wewe!! labda siku 7 hizo ulikuwa unavua kambale
Hamnaaa wewe mkuu na jimena mmeanza kunipa was wasHaha acha uoga mkuu
Vipi nyege unaweza vumilia?Sema huwezi vumilia sio kwamba hauvumiliki
Waambie mkuu, vijana hawajapitia depo wanabisha, lazime upitie zoezi la kutolala hadi wiki kadhaa, ni sehemu ya mazoeziInafika kipindi mtu anaenda chooni kukata gogo basi analala huko japo kwa robo saa pamoja na harufu ya chooni lakini watu hawajali.
Dah basi kama ni hivyo mi niko tayari tumkate katikati usawa wa kiuno afu mi ntachukua upande wa chini pleaseHakuna
Asee

Mkuu
Watakuvua komunio zoteHahaha
Ntaenda kuulza
Ntafanya research
....Kwei goma sisi tulipiga 7 wixSio kweli mkuu, Ukienda Jeshini kuna kitu kinaitwa doso ' six weeks ' bila kulala.
Kwa waliopitia watajua nini namaanisha.
Anajua labda ulikuwa unakesha kuvua kambaleWe Dikteta uchwara kambale wameingiaje kwenye hii mada
![]()
![]()
![]()
![]()
.............
Kusinzia kumo, ila ole wako uonekanea na Makamanda utajua kwanini Jua halizami kaskazini.