Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ila msinifungulie mashtaka tuSwali la kichochezi hili
Ila msinifungulie mashtaka tuSwali la kichochezi hili
HahahahaNawasemea "binadamu" wao pia ni mfano
![]()
![]()
![]()
...........
Binadamu hawezi kuvumilia njaa,nyege & usingizi hata mapadri na masista wa katoliki hujichua
![]()
![]()
![]()
..............



aisee! Ujue hata mi najiulizaga makasisi nyege zao wanazipeleka wap? HahaaDoneAf! Wewe una akil!!!....agiza kinuaji kyokyote ntalipa![]()
Hahaha mchukue yule mkuu uone ka ntakufatafataHahaha
Sweetapple
Alaf yuko cjui yuko wap!!!
Unapataga wap muda wa kuwaza kias hkooaisee! Ujue hata mi najiulizaga makasisi nyege zao wanazipeleka wap? Hahaa
Hahaha mchukue yule mkuu uone ka ntakufatafata
Watu wamekesha wiki 6 bila kulalaHiyo namba mbili hai-apply kwa wajeda wakiwa depo
Hizi kweli fixFIX ZA BITOZ:
1/Binadamu ndo mnyama pekee ambaye anaweza kulala chali na kifudifudi
2/Huwezi kukaa siku mbili bila kulala....lazima ufe
3/kumekuwa na ubishi kuhusu size ya kibamia....km dushe lako likisimama linazidiwa na urefu wa peni hicho ni kibamia orijino
4/Mbwa akila chocolate anakufa...kwake ni poison
5/Ziwa Ngozi liliopo Rungwe ni la pili kwa ukubwa(kina) Afrika kwa upande wa CRATER LAKES linahusishwa na ushirikina lakini kitaalamu lina tope jingi hivyo ukiingia kichwakichwa unamezwa!!
*******************
DhambiiiNawaza tu kwa sauti![]()
![]()
Top 10 leo wikend kumbe
Halaf nme zitafta kwa bidii kwel kwel
Ztakuja juma mkuu

Sio kweli mkuu, Ukienda Jeshini kuna kitu kinaitwa doso ' six weeks ' bila kulala.Km unabisha jaribu kuanzia keaho asubuhi usilale halafu tuone km utavuka siku mbili hujatema uhai.....ambao hawalali usiku hulala asubuhi and vise versa
![]()
![]()
![]()
................
Wanajichua kimyakimya kuepuka skendo wengine uvumilivu ukiwashinda utafuta vishikwambi na kufanya sir I....madista pia utafuta vidumeaisee! Ujue hata mi najiulizaga makasisi nyege zao wanazipeleka wap? Hahaa
Bora unisaidie kaka mana Bitoz anaona kutokulala siku mbili ni nyingi sanaWatu wamekesha wiki 6 bila kulala
Ni wiki 6 mzee...baada ya hapo watu hubaki vichwa na masikio tu.haha ntajaribu ila wajeda huwa hawalali kama wiki mbili hivi au zaid wakiwa depo ngoja ntauliza zaid
Heheheheee