shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kwa nini hii saluti ilipigwa marufuku?View attachment 377014View attachment 377015View attachment 377016View attachment 377017
Dikteta uchwara
............
Djiwe limetupwa gizani!!! Ukisikia yallah! Udjue djiwe limimpataaa

Muulize genius MussoliniKwa nini hii saluti ilipigwa marufuku?
Mi sio shoe addict hivyo hata pair 50 sina hakika kama zinafikaJimena yeye sijui anazo ngapi![]()
![]()
![]()
![]()
HaswaaaaaaaDjiwe limetupwa gizani!!! Ukisikia yallah! Udjue djiwe limimpataaa![]()
5m!!!NUKUU NO 2#
Mwanasiasa au kiongozi akiimudu vyema propaganda na akaitoa kwa kiwango cha hali ya juu na kwa ufundi,
Anaweza kufuatwa na maelfu ya watu kwa kuwaaminisha mambo ya uongo.
Wanaweza kuamini kuwa jehanamu ndio peponi au kuwafanya wayachukulie maisha ya hovyo na ya taabu kuwa ndiyo Paradiso (HITLER NA PALADISO HEWA)
Haya yalitamkwa na dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolph Hitler.
Alizaliwa April 20,1889 na kufariki Dunia kwa kujipiga risasi April 30,1945.
Alikuwa mtawala wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi 1945.
Fashisti Hitler alihusika na mauaji ya kinyama ya Wayahudi karibu milioni tano wakati wa vita ya pili ya Dunia

Kwa hisani ya papa wellason sina la ziada
PapaaHuyu sio uchwara..huyu ni hatari.View attachment 377014View attachment 377015View attachment 377016View attachment 377017
Dikteta uchwara
............
Swali la kichochezi hiliHuu mchezo hauhitaji hasira.
Hivi Riwaya zimeishia wapi?
Af! Wewe una akil!!!....agiza kinuaji kyokyote ntalipaHuvutia kwake

Hakosi seventyJimena yeye sijui anazo ngapi![]()
![]()
![]()
![]()
Naskia Kuzi alikuwa na wanajeshi 110 hamunaga!!!Huyu sio uchwara..huyu ni hatari.
Duuuh ni shdaaaNUKUU NO 2#
Mwanasiasa au kiongozi akiimudu vyema propaganda na akaitoa kwa kiwango cha hali ya juu na kwa ufundi,
Anaweza kufuatwa na maelfu ya watu kwa kuwaaminisha mambo ya uongo.
Wanaweza kuamini kuwa jehanamu ndio peponi au kuwafanya wayachukulie maisha ya hovyo na ya taabu kuwa ndiyo Paradiso (HITLER NA PALADISO HEWA)
Haya yalitamkwa na dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolph Hitler.
Alizaliwa April 20,1889 na kufariki Dunia kwa kujipiga risasi April 30,1945.
Alikuwa mtawala wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi 1945.
Fashisti Hitler alihusika na mauaji ya kinyama ya Wayahudi karibu milioni tano wakati wa vita ya pili ya Dunia
Aaah kweliAah!!! Mwamba ngozii!
HaaaaFIX ZA BITOZ:
1/Binadamu ndo mnyama pekee ambaye anaweza kulala chali na kifudifudi
2/Huwezi kukaa siku mbili bila kulala....lazima ufe
3/Mumekuwa na ubishi kuhusu size ya kibamia....km dushe lako likisimama linazidiwa na urefu wa peni hicho ni kibamia orijino
4/Mbwa akila chocolate anakufa...kwake ni poison
5/Ziwa Ngozi liliopo Rungwe ni la pili kwa ukubwa(kina) Afrika kwa upande wa CRATER LAKES linahusishwa na ushirikina lakini mitaalamu lina tope jingi hivyo ukiingia kichwakichwa unamezwa!!
*******************