Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haaaa
Peni gani ya speedo au zile BIC!!?
Yoyote uliyotumia skuli ........
Mbona una presha
1470500981343.jpg
1470501029840.jpg
1470501035305.jpg

Zote zina urefu spesho isipokuwa zile za kizushizushi

..............
 
FIX ZA BITOZ:
1/Binadamu ndo mnyama pekee ambaye anaweza kulala chali na kifudifudi

2/Huwezi kukaa siku mbili bila kulala....lazima ufe

3/kumekuwa na ubishi kuhusu size ya kibamia....km dushe lako likisimama linazidiwa na urefu wa peni hicho ni kibamia orijino

4/Mbwa akila chocolate anakufa...kwake ni poison

5/Ziwa Ngozi liliopo Rungwe ni la pili kwa ukubwa(kina) Afrika kwa upande wa CRATER LAKES linahusishwa na ushirikina lakini kitaalamu lina tope jingi hivyo ukiingia kichwakichwa unamezwa!!
*******************
Hiyo namba mbili hai-apply kwa wajeda wakiwa depo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom