Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
NnachoNunua chako
![]()
![]()
![]()
........
Huyu mama ametishaaaNUKUU NO 1#
Wananiita fisadi. Inashangaza
Mimi si mtu wa kulimbikiza mali kwa kupendelewa.
Pengine upendeleo pekee niliowahi kupata ni kupewa uso huu mzuri unaovutia.
Lakini fisadi? Hapana. Ningekuwa fisadi Mungu asingenipa sura hii nzuri ya kuvutia.
Jina hilo (fisadi) linawafaa zaidi wenye sura mbaya.
Maneno haya yalisemwa na Imelda Marco - mke wa Rais wa zamani wa Phillipines ambaye sasa ni marehemu, Ferdinand Marcos.
Wakati wa u-first lady wake inaaminika Imelda Marcos alikuwa na jozi za viatu zaidi ya 1,000.
Mumewe aliitawala Philippines kuanzia mwaka 1965 hadi 1986 alipokimbilia Hawaii baada ya mapinduzi ya umma
NUKUU NO 1#
Wananiita fisadi. Inashangaza
Mimi si mtu wa kulimbikiza mali kwa kupendelewa.
Pengine upendeleo pekee niliowahi kupata ni kupewa uso huu mzuri unaovutia.
Lakini fisadi? Hapana. Ningekuwa fisadi Mungu asingenipa sura hii nzuri ya kuvutia.
Jina hilo (fisadi) linawafaa zaidi wenye sura mbaya.
Maneno haya yalisemwa na Imelda Marco - mke wa Rais wa zamani wa Phillipines ambaye sasa ni marehemu, Ferdinand Marcos.
Wakati wa u-first lady wake inaaminika Imelda Marcos alikuwa na jozi za viatu zaidi ya 1,000.
Mumewe aliitawala Philippines kuanzia mwaka 1965 hadi 1986 alipokimbilia Hawaii baada ya mapinduzi ya umma
Wanawake na viatu!!!NUKUU NO 1#
Wananiita fisadi. Inashangaza
Mimi si mtu wa kulimbikiza mali kwa kupendelewa.
Pengine upendeleo pekee niliowahi kupata ni kupewa uso huu mzuri unaovutia.
Lakini fisadi? Hapana. Ningekuwa fisadi Mungu asingenipa sura hii nzuri ya kuvutia.
Jina hilo (fisadi) linawafaa zaidi wenye sura mbaya.
Maneno haya yalisemwa na Imelda Marco - mke wa Rais wa zamani wa Phillipines ambaye sasa ni marehemu, Ferdinand Marcos.
Wakati wa u-first lady wake inaaminika Imelda Marcos alikuwa na jozi za viatu zaidi ya 1,000.
Mumewe aliitawala Philippines kuanzia mwaka 1965 hadi 1986 alipokimbilia Hawaii baada ya mapinduzi ya umma
khaa!!!Aries katika ubora wakeNUKUU NO 2#
Mwanasiasa au kiongozi akiimudu vyema propaganda na akaitoa kwa kiwango cha hali ya juu na kwa ufundi,
Anaweza kufuatwa na maelfu ya watu kwa kuwaaminisha mambo ya uongo.
Wanaweza kuamini kuwa jehanamu ndio peponi au kuwafanya wayachukulie maisha ya hovyo na ya taabu kuwa ndiyo Paradiso (HITLER NA PALADISO HEWA)
Haya yalitamkwa na dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolph Hitler.
Alizaliwa April 20,1889 na kufariki Dunia kwa kujipiga risasi April 30,1945.
Alikuwa mtawala wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi 1945.
Fashisti Hitler alihusika na mauaji ya kinyama ya Wayahudi karibu milioni tano wakati wa vita ya pili ya Dunia
Ohooo, wanifananisha mkuuKaka Jambilo habar yako!!?
Ametisha sana leo mkongoKwa hisani ya papa wellason sina la ziada
Hahaha cheeeethis game doesn't need anger
![]()
Umeua kabisaKaka Jambilo habar yako!!?
Na nani?Ohooo, wanifananisha mkuu
Aah!!! Mwamba ngozii!Namkubali sanaa RvP uwa nahis alikuwa mchezaj wa man u zaid kuliko Arsenal
Alitisha sanaHuyu mama ametishaaa
Na jambilooNa nani?
Huvutia kwakeAah!!! Mwamba ngozii!
NUKUU NO 2#
Mwanasiasa au kiongozi akiimudu vyema propaganda na akaitoa kwa kiwango cha hali ya juu na kwa ufundi,
Anaweza kufuatwa na maelfu ya watu kwa kuwaaminisha mambo ya uongo.
Wanaweza kuamini kuwa jehanamu ndio peponi au kuwafanya wayachukulie maisha ya hovyo na ya taabu kuwa ndiyo Paradiso (HITLER NA PALADISO HEWA)
Haya yalitamkwa na dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolph Hitler.
Alizaliwa April 20,1889 na kufariki Dunia kwa kujipiga risasi April 30,1945.
Alikuwa mtawala wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi 1945.
Fashisti Hitler alihusika na mauaji ya kinyama ya Wayahudi karibu milioni tano wakati wa vita ya pili ya Dunia