....nakunywa Henessy V.S.O.P. unaijua? Nenda kaitafute shemNdo tatizo la Wacongo kupenda starehe.....ushalewa viroba feki ww
![]()
![]()
![]()
.........
I seeMi wala sina tatizo mbona
.anajijuaHivi ni nani?

a.k.a. the coolest guy

Shem usiwe na jazba, dadako nshamtema!....alilia huyo!!!....maskini nina dhambi!....itabidi nimtafute nimwombe msamaha na tuchangamshe damu ya bye byeMe simo
Mbwembwe za Licongo zinajulikana
![]()
![]()
![]()
...........

....laiti kuta zingekuwa na mudomo mamiiHuyo alishagonga mwamba ye abakie kupiga jaramba kwa lizziebettie tu
Eti little boy! ....shame on themLeo katika Historia:
1945 - Mji wa Hiroshima huko Japan, walipuliwa na bomu la atomic lililojulikana kama " Little Boy " ambalo liliua watu takribani 170,000 hapohapo na wengineo walifariki zaidi baadae kutokana na mionzi ya sumu.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza bomu la atomiki kutumika Duniani katika Vita kuu ya Pili ya Dunia, na lilileta madhara makubwa sana mpaka leo.
Hii nchi ina magari old model!Leo katika Historia:
1960 - Baada ya Mapinduzi ya Cuba kukamilka, Serikali mpya iliyoongozwa na Fidel Castro yataifisha mali zote za zilizoachwa na Marekani nchini humo na kuwa mali za umma.
Tungeona mengi....laiti kuta zingekuwa na mudomo mamii
Happybirthday RVPLeo katika Historia:
1983 - Robin Van Persie anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Arsenal, Man Utd pia hucheza timu ya taifa ya Uholanzi.
Katika Ubora wake, alikuwa moto wa kuotea mbali kwa kufumania nyavu.
....hivi kaenda timu gani???Leo katika Historia:
1985 - Bafetimbi Gomes anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Swansea city.
Anasifika kwa staili ya kushangilia kama Nyani.
....anawafungaga tu arsenalJamaa anajua kufunga akipata mtu wa kumtengenezea
Tanx brodaKufikia haposina la ziada, kwa Udhamini mkubwa wa Majonzi ya Hiroshima, tukutane kesho tena.
Bye
Kutangulia sio kufika
aiseeee! Kwa hyo sisi tulikosea wapi?