Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
Hahahahahahahahaaa nimeona la kwangu
Morning, za wewe mkuuMorning Kapuku team.
Jamaa anajua kufunga akipata mtu wa kumtengenezeaLeo katika Historia:
1985 - Bafetimbi Gomes anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Swansea city.
Anasifika kwa staili ya kushangilia kama Nyani.
Leo katika Historia:
1960 - Baada ya Mapinduzi ya Cuba kukamilka, Serikali mpya iliyoongozwa na Fidel Castro yataifisha mali zote za zilizoachwa na Marekani nchini humo na kuwa mali za umma.
duuh tutake radhi mkuuYa Uingereza
Ni wapambanaji haswa.View attachment 376800View attachment 376801View attachment 376802
Wajerumani wanapenda vita
Hadi soka wapo hivyo
...........
Pamoja na madhara yote hayo, Marekani ikaona haitoshi wakaja kuachia bomu kubwa zaidi ya hilo siku tatu baadae katika mji wa Nagasaki na kulipa jina bomu hilo kuwa ni ' Fat man '
kama Efu-efu-yu na Ukawa
Leo katika Historia:
1962 - Jamaica yajipatia Uhuru wake toka kwa Uingerza.
Kati ya watawala ninaowakubali sana
Leo katika Historia:
1991 - Tin Berners- Lee anaanzisha idea yake ya kutumia World Wide Web ( WWW. ) baada ya matumizi ya Internet kuwa ya wazi kwa watu wote huko Marekani.
Iko njema sana Mkuu. Wikendi vipi?Morning, za wewe mkuu
Leo katika Historia:
1978 - Katie Price anazaliwa.
Ni mwigizaji na mwanamitindo toka nchini Uingereza.
Asante braza. Ubarikiwe.Kufikia haposina la ziada, kwa Udhamini mkubwa wa Majonzi ya Hiroshima, tukutane kesho tena.
Bye