Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Mambo!Sawa mkuu
Mambo!Sawa mkuu
Dea dea papaaApple....sorry Sweetiepie we ni me or ke???![]()
Mkuu Werrason mi sio Apple ni Sweetiepie...mi ni KEApple....sorry Sweetiepie we ni me or ke???![]()


Pouwa niaje Quigley....Mambo!
Hata nami nilitaka kujua asante,Mkuu Werrason mi sio Apple ni Sweetiepie...mi ni KE![]()
Mkuu hongera na ulifit sana hata kuwa nahodha maana umejitahidi sana kwa maelezo na ufafanuzi wa hizo meli hapo juu...Si kazi rahis kuleta kitu kama hii
Ahsanten kwa kunivumilia na kuchangia na hata kutochangia pia
Nawakubali woote kwa sapot yenu
Nilmo chapia tusameheane macho yana niuma sanaa yaan nalazmishia tuu hapa


Nko poa dadake, nimefurahi kuona ume join family yetu, karibuuuPouwa niaje Quigley....
Adios amigo...Bas hadi wakat mwngneeee mlikuwa nami
Szczesny Carrenza de la Casa de la fuma aka Field Marshal
Mpaka kesho
Adiousss


HiiiNzuri mkuu....
Asante kakaBas hadi wakat mwngneeee mlikuwa nami
Szczesny Carrenza de la Casa de la fuma aka Field Marshal
Mpaka kesho
Adiousss
Asante kakaake...Nko poa dadake, nimefurahi kuona ume join family yetu, karibuuu
!
Wajiskiaje huku lakiniAsante kakaake...!

Yes ni za Norway lakin hufanya kazi sehem za visiwa visiwa hasa BermudaHiyo nayo ni ya huko huko Norwey mkuu au?
Jina lako najaribu kulitamka kimoyomoyo najikuta najing'ata ulimiHiii
Karibu
naitwa Szecny one of the coolest guys here

gumu...ooh it's cool to know you the coolest guy
...na wengine wote kwa kunikaribisha wakuu! 

Waapi kama napafahamu huko Bermunda...Yes ni za Norway lakin hufanya kazi sehem za visiwa visiwa hasa Bermuda
, asante kwa kunielewesha mkuuThanksMkuu hongera na ulifit sana hata kuwa nahodha maana umejitahidi sana kwa maelezo na ufafanuzi wa hizo meli hapo juu...![]()