Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
EeehAsante kaka
Sepider hata haipo kwenye top tenNumber 1, Pioneering Spirit View attachment 376112 ( urefu-mita 382 , uzito- tani 403,332, gharama-1.7 billion $, Crew- watu 571)
Ki ukweli ukiangalia uzito hapo wa hyo meli n balaa na naskia imetengenezwa kwa kina jumong huko South Korea
Ni meli ya mizigo tuu, detail zake zaid sina ila we ukiulizwa meli kubwaa zaid jua ndo hiyo

Asante mkuu, nipooo, mambo vip?Eeeh
Nimekumiss mkuu
HahahaJina lako najaribu kulitamka kimoyomoyo najikuta najing'ata ulimigumu...ooh it's cool to know you the coolest guy
...na wengine wote kwa kunikaribisha wakuu!
![]()
Asante kwa picha prezdaaa
Mbavu zangu

waTz tunategemea mitumbwi..ila kweli aisee!Shabiki wa arsenalHahaha
La kipoland hilo lina tamwaka stensnei
Lakin kwa kuwa sisi ni wa bongo
Unaita shezni tuu, tht simple

Haya Stensnei...Hahaha
La kipoland hilo lina tamwaka stensnei
Lakin kwa kuwa sisi ni wa bongo
Unaita shezni tuu, tht simple
Hahahaha Shululu!! umenchekesha sanaaSepider hata haipo kwenye top ten![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu Werrason mi sio Apple ni Sweetiepie...mi ni KE![]()
Hahahahaha
Poa jembe..nimeona km zinafanana hivyo sijaongeza mapichaSi kazi rahis kuleta kitu kama hii
Ahsanten kwa kunivumilia na kuchangia na hata kutochangia pia
Nawakubali woote kwa sapot yenu
Nilmo chapia tusameheane macho yana niuma sanaa yaan nalazmishia tuu hapa
Nawe pia, ila unalala mapema mpaka rahaGood night wakuu nataka nizime data nichaji simu, asanteni kwa kunikaribisha 🙂 Stay blessed
xx
Duh niliona Kuna umuhimu zen nikagundua mimeli inatofautiana vitu vichache tuAsante kwa picha prezdaaa
Vivuko tu shida....vinazamazama km matofaliMbavu zanguwaTz tunategemea mitumbwi..ila kweli aisee!