Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lazima sheria zibadilishwe

Hata Rais Magufuli cdhan kama analijua hilo kama hata badilisha sheria yyte ata feli vibaya na ataishia kuwa ana fukuza watuu tuu ila nchi haiendi
1470311057571.jpg

..........
 
Jamaa ni dikteta uchwara sijui anatupeleka wapi.....kibaya zaidi yy ni kipofu anawaburuta tu wasaidizi wake km behewa za treni huku nao wamezibana tu macho
Nation Of Blinds (NOB)

...........
Wanaunga tela bila kujua wanapelekwa wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom