briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Unaufahamu vizuri utelezi wa ganda la ndizi? Ndivyo ilivyokuwaMm nikishinda huwa najisifia kweli kweli..
Sisubiri mnipe sifa ninyi.
Kwani hyo yako haikuwa na ushindani au ikikuwa vp?



Cc Jimena
Unaufahamu vizuri utelezi wa ganda la ndizi? Ndivyo ilivyokuwaMm nikishinda huwa najisifia kweli kweli..
Sisubiri mnipe sifa ninyi.
Kwani hyo yako haikuwa na ushindani au ikikuwa vp?



Sasa kumbe vepeHata nyuma hatugeuki kabisa, sisi ni mbele kwa mbele
Nzuri, za wewe mkuuHabari zenu wapendwa?
Safi tu mkuu, mambo vp pande hizo?Nzuri, za wewe mkuu
Nzuri, habari ya jumatano?Habari zenu wapendwa?
Ni njema sana, mnatunyima nini pande hizo??Nzuri, habari ya jumatano?
Hebu nipe sifa zangu.... Acha kunibaniaUnaufahamu vizuri utelezi wa ganda la ndizi? Ndivyo ilivyokuwa
Cc Jimena
Yako poa kabisaSafi tu mkuu, mambo vp pande hizo?
Nimemaanisha uliteleza nayo kama ruud van nistelrooy golini.. Hivi ntaanzaje kikubania sifa zako kwa mfano? Si unajua kabisa ntafeliHebu nipe sifa zangu.... Acha kunibania

Fanya hivyo mkuu tunaisubiri hapaTop 10 itakuja baada ya dakika 3
Ahsanten
Tusisahau kumshukuru muumba kwa wema huuYako poa kabisa
AaaahNimemaanisha uliteleza nayo kama ruud van nistelrooy golini.. Hivi ntaanzaje kikubania sifa zako kwa mfano? Si unajua kabisa ntafeli![]()
![]()