lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Habari yako shemShem nakusalimu...
Habari yako shemShem nakusalimu...
Wacha weeNimekula Tengu na togwa
Mambo vipi kistick
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Hii ipoNipo kabisa
Naikaribisha weekend kwa upoole

Wapi wifi???Tuko poa sana ndugu yangu...
Salama bwana briz! HujamboU hali gan bibie?
Hahahahha wanasema haya ndiyo matokeo ya mwezi wa 8 na 9 kina mama wengi kushindwa kutema mate kwa mbele na kutemea kwa pembeni....















Sisi tu wazima sana Shem wangu...Mumepotea sana...U zima upo lakin?Habari yako shem
Hahahaa ndio maana basi! Kistick ndio nini?Nimekula Tengu na togwa
Mambo vipi kistick
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Dada wifi yako yuko mazoezi kidogo ila nashukuru Mungu ana hali njema kabisa...Wapi wifi???
Uko poa my wifiiWifiiiii
Kabisa bitozi, mimi ndiyo huwa nachoka kabisa
Demu kimbaumbau asiye na mkia ht wa nyauHahahaa ndio maana basi! Kistick ndio nini?
Hapana mkuu nimesoma huu utafiti kwenye gazeti tu...hahahhahah
Kumbeeee! nimecheka sana hapo mkuu, una kauzoefu cha kutosha sana
Tupo shem! Upo kabisaSisi tu wazima sana Shem wangu...Mumepotea sana...U zima upo lakin?
Aiseee umetisha sanaaaNi njema ndugu, leo nlikumiss kipekee kabisa sijui ndo mambo ya TBT haya![]()
![]()
![]()
Tuko pamoja sana shemeji yangu....Tupo shem! Upo kabisa