Makapuku Forum

Makapuku Forum

Halafu kuna watu usipowasalimia hivyo wananunaaa yani mtu anakusemea mpaka kwenu kuwasiku hizi unajiona umekuwa unamsalimia tu kama mnalingana
Mi mzee wangu tangu kitambo alitupatia salam flan tofauti na hiyo so sikuizoea hiyo shikamoo kiviile nlipata tabu sana kujilazimisha kwa watu wengine hiyo shikamoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom