Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kifo chake ni moja ya vifo tata vilivyowahi kutokea Duniani.

Kuna wanaoamini aliuwawa kwa sumu kuna wanaoamini alikufa kifo cha kawaida.

Inasemekana alitumia mara kwa mara vidonge vya kupunguza maumivu na ndio ambavyo vilimletea Madhara.

Alikufa akiwa usingizini akijiandaa kushoot movie yake ya Game of Death.

Mwanae Brandon Lee alipojaribu kwenda Hongkong kuchunguza kifo cha baba yake aliporudi Marekani akauwawa kabla hajatoa ripoti yake ya uchunguzi.

Aliuwawa kwa kupigwa risasi wakati wanashoot movie yake ya " The crow "
Asante sana hapa sasa nimepata picha
Naamini aliuawa kwasababu alijua ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom