briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Na inasemekana alipogawa peke yake zilibaki nyingine..maana wapo waliopata hofu ya kuchukua hata moja na wengine walichukua moja wakagawana watatu![]()
![]()
![]()
![]()








duh!Na inasemekana alipogawa peke yake zilibaki nyingine..maana wapo waliopata hofu ya kuchukua hata moja na wengine walichukua moja wakagawana watatu![]()
![]()
![]()
![]()








duh!Uwe na siku njema mkuuMakapukuuuuuu kumekucha
Nzuri,habari za weweHabari ya asubuhi wapendwa!
Nawe pia kiongoziNzuri,habari za wewe
Uwe na siku njema ya baraka
Habr za usubuhi Makapuku form niwatakie asbh njem na kaz pia mungu awafanyie wepes kwa kila jambo la kheri.
Ni asubuhi tulivu,
Mungu ametujalia
Kuiona
Na tuseme asante kwa Mungu.
Nawatakia kazi njema wote.
Yawezekana kuna mtu miongoni mwetu hajui atafanya nini, Mungu amfungulie milango ya kazi
Yawezekana umetembeza barua kila ofisi na kazi hujapata, Mungu akusaidie upate taarifa kuwa unahitajika mahali kwa kazi
Yawezekana biashara yako nayo haiendi/ hainunuliki, mwambie Mungu wako asubuhi hii naye atakusaidia
AmeeeenYawezekana pia huna amani, watu wamekuudhi sana na huna amani, jaribu kusamehe na Mungu atakupa amani
Sio riziki yakoIshatumika na namba iliyoishia na ...... 84009
Ni njema sana mkuu, tunamshukutu Muumba kwa siku nyingine tenaNzuri,habari za wewe
Teh si ni we mamluki jana ulinizidi timing, hujambo lakin?Sio riziki yako
3 5 10 vinanihusu@
*10 Biggest brain damaging habits*
1: Missing breakfast
2: Over-eating
3: sleeping late
4: High sugar consumption
5: More sleeping specially at morning
6: Eating meal while watching TV or computer
7: Wearing Cap/scarf or socks while sleeping
8: More brain usage during sickness
9: Over speaking
10. Habit of blocking/Stoping Urine
*As I care for U*
**