Makapuku Forum

Makapuku Forum

1468995379595.jpg
1468995391404.jpg
 
Uwe na siku njema ya baraka

Habr za usubuhi Makapuku form niwatakie asbh njem na kaz pia mungu awafanyie wepes kwa kila jambo la kheri.

Ni asubuhi tulivu,
Mungu ametujalia
Kuiona
Na tuseme asante kwa Mungu.

Nawatakia kazi njema wote.

Yawezekana kuna mtu miongoni mwetu hajui atafanya nini, Mungu amfungulie milango ya kazi

Yawezekana umetembeza barua kila ofisi na kazi hujapata, Mungu akusaidie upate taarifa kuwa unahitajika mahali kwa kazi

Yawezekana biashara yako nayo haiendi/ hainunuliki, mwambie Mungu wako asubuhi hii naye atakusaidia

Yawezekana pia huna amani, watu wamekuudhi sana na huna amani, jaribu kusamehe na Mungu atakupa amani
Ameeeen
 
@

*10 Biggest brain damaging habits*

1: Missing breakfast

2: Over-eating

3: sleeping late

4: High sugar consumption

5: More sleeping specially at morning

6: Eating meal while watching TV or computer

7: Wearing Cap/scarf or socks while sleeping

8: More brain usage during sickness

9: Over speaking

10. Habit of blocking/Stoping Urine

*As I care for U*

**
3 5 10 vinanihusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom