Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Queeen!!!3 5 10 vinanihusu
Queeen!!!3 5 10 vinanihusu
Unastahili japo mikakati ni muhimu ili kupunguza mamluki![]()
![]()
![]()
Heshima kubwa sana jimena
![]()
KatishaaaNi werra bana
Mhh alinusurika kuuwawa na nani tena huyu mbabe?Leo katika Historia:
1944 - Adolf Hitler ananusurika kuuwawa katika jaribio lilioitwa " Operation Valkyrie "
Naisubiri hiyo mbinu, nami naingia chimbo kwa mfadhili wangu anifadhili nisije poteza heshima ya jimenaView attachment 367909View attachment 367911View attachment 367912
Mpaka hapo basi sina la ziada, asante sana QUIGLEY kwa udhamini mkubwa kabisa
Ila leo ntatoa mbinu mpya ili kukiwa na ofa mamluki wasijue kinachoendelea na ofa iwanufaishe Makapuku tu
Leo katika Historia:
1947 - Santana Mpiga gita maarufu toka nchini Mexico anazaliwa.
SalamaMkuu,habari ya wewe?
Nilimuacha kidogo akabeba..
Aliemkosa nae hakuwa na shabahaMhh alinusurika kuuwawa na nani tena huyu mbabe?
We acha tu kaipata kilainiii kama anasukuma mlevi vileKatishaaa
Alibaki peke yakeeeeee akatupia post kiulainiiiii

Leo katika Historia:
1951 - Mfalme Abdulla wa Kwanza wa Jordan auwawa na Wapalestina baada ya kuhudhuria ibada ya Ijumaa huko Jerusalem.
Ha ha ha ha ha haNaisubiri hiyo mbinu, nami naingia chimbo kwa mfadhili wangu anifadhili nisije poteza heshima ya jimena
Keep on dreamingUtafiti inaonrsha wacongo hufa mapema......kazi kwako Licongo
![]()
![]()
![]()
![]()
........

Leo katika Historia:
1810 - Ni siku ya Uhuru wa Colombia.
Ilipata uhuru wake toka kwa Spain.
Haha haha me mzimaaa sjui weweTeh si ni we mamluki jana ulinizidi timing, hujambo lakin?
Si Umeona nilivyousukuma uzi peke yangu ili nitupie! I wish ingekuwa 100kbigup, ingawa hakukuwa na upinzani
![]()

Leo katika Historia:
1973 - Bruce Lee anafariki Dunia.
Mmoja kati ya wacheza martial arts bora wa wakati wote. Pia ni mcheza movie za mapigano.