Makapuku Forum

Makapuku Forum

8f4dbd987a5224ddd74eb0b63a17bab0.jpg

"RONALDO AIPELEKA URENO ROBO FAINALI"
Magazeti ya Bongo upuuzi mwingi hivi wanadikiri wasomaji wao ni maandazi na tunaishi vijijini.....Yanaboa
Ujinga mtupu wkt ni NUSU FINAL na mechi yenyewe alifulia
Wapunguze kutulisha matikiti pori ht km yanauzwa JERO
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
.,..............
Si ndo hapo!!! ....hii migazeti mingine hata Si ya kununua!!![emoji16] [emoji35]
 
Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.

Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.

Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku prezidaa Bitoz shukrani kwake sana.

Members
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Nahrene
cute b
lizziebettie
UncleBen
peterchoka
nyumbatatu
dekitambi
HULILO
Kawalala93
damtanzania
youngblood
tawa driller
SongeaOne
eden kimario
KABUGHA
Sambusa kavu
shaban lee
Nafsi huru
hassandady
Shemtibuko
sumbai
mabesela
dog 1
aggyjay
Elly_corner
Teacher on duty
willy fredy
PNC 1
jambilo
Powder
Mussolin5
xavia jr
punje haradari

Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.

Karibu sana

Bitoz
JF Makapuku Founder

Jimena
JF Makapuku assistant Founder

Th Name JF Makapuku assistant Founder
Teh
 
Hilo ni tatizo kubwa sana

Mi huwa napenda culture yao natamani siku moja niende vacation halafu nikiwa room nisikie music kwa mbaliii nikichungulia dirishani nikute kumbe nimeletewa band inaniimbia yani siku hiyo... Sitalala kwa furaha
Lakini tatizo amani hawana ya kutosha
Mh!!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

cc: Szczesny
 
Back
Top Bottom