Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Okay ni sawa pia, hilo jina ni la kispanish japo walatino huwa wanapenda kulitumia zaidi
Okay ni sawa pia, hilo jina ni la kispanish japo walatino huwa wanapenda kulitumia zaidi
Basi movie ndio itarahisishaDaah itafute mkuu...hatari sana. pia kuna movie yake
Aah kwa zile mbwembwe zote nikajua kijana alishamaliza hilo suala.. nweyz usijali navunja kibubu lazima tuinywe kabla huu mwaka haujakatikaWine bado[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hope itapatikana kabla mwaka haujaisha... Maana vinginevyo ntachoka kusubiri
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hehehehe mbona watatukoma ikifika[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Amen mkuu, ngoja tuendelee kuitakasa.Happy sabath mkuu Mussolin5!!
Umeona ehh..hali ya hewa inaruhusu leoSawa kabisa, yamebaki masaa machache tu bata lianze[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
HahahaNaomba kazi ya clearing bandarini wakuu
Mi niko safi kabisa.... Nafurahia week end yangu hapaNjema kabisa dadake hope umeamka salama
DyuuuuHahaha
Sasa wewe utaiona kama suprize tuu, apo bandarin ntatoa mwenyew
Natumia simu iliyosahaulika na TCRAMkuu na wewe uwe unaeka na picha ili twende sawa
Nadhan ombi lime fika
[emoji3]Morning, naona kijana anazid kujitutumua anaenda extra mile sasa.. Vp lakin ile wine alishakuletea?
Y O L OUmeona ehh..hali ya hewa inaruhusu leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umetisha, au mshana kakupa ulinzi nini!!Natumia simu iliyosahaulika na TCRA
Ndio maana ake. Hayo makundi yana nguvu kuliko Serikali. Rejea hata kifo cha JFK, alipishana na Mafia mob kuhusu Cuba.Halafu serikali zao ziko kimya kwasababu inasemekana hawa wauza unga wanazifadhili serikali kwa maswala kadha wa kadha
[emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276]Aah kwa zile mbwembwe zote nikajua kijana alishamaliza hilo suala.. nweyz usijali navunja kibubu lazima tuinywe kabla huu mwaka haujakatika
Bitoz huwa ananisaidia kuweka picha mkuuPichaaaaaa