Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Ngoja niwakumbushe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Natumia simu iliyosahaulika na TCRA
Cc TCRA
Ngoja niwakumbushe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Natumia simu iliyosahaulika na TCRA
Hamna ni mimi mwenyewe tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umetisha, au mshana kakupa ulinzi nini!!
DuuhBitoz huwa ananisaidia kuweka picha mkuu
If u do it right, Once is enough!!Y O L O
wala sio kama hakuna amani ila watu waliokuwa wamebet waliona jamaa kawafungisha makusudi, hivyo wakampa hukumu yake.
Unatishaaa, but nakushauri uachane na fake kwani wewe ni orginal mkuuHamna ni mimi mwenyewe tu
Hunitakii mema...mtakosa segment ya historiaNgoja niwakumbushe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Cc TCRA
Hivi kuna novel yake? Nimecheki series yake yote ya movie huyu jamaa ni ni shida nyingineDaah itafute mkuu...hatari sana. pia kuna movie yake
hahaha...yah hizo ni picha murua kabisa zikionesha Escobar alivyojifunga na siku 10 baadae akapoteza maisha.![]()
![]()
![]()
![]()
WaliBET pesa ya sikukuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...........
Haha napenda vile wajua kukomaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276]
Kuwa makini kijana
Kilianza kitabu ndio ikafata Movie.Hivi kuna novel yake? Nimecheki series yake yote ya movie huyu jamaa ni ni shida nyingine
Hilo ni tatizo kubwa sanaNdio maana ake. Hayo makundi yana nguvu kuliko Serikali. Rejea hata kifo cha JFK, alipishana na Mafia mob kuhusu Cuba.
Itafute hiyo movie hutojutia ingawa ni ya kizaman lakin ni bonge la movieBasi movie ndio itarahisisha
Jamaa wabaya sanahahaha...yah hizo ni picha murua kabisa zikionesha Escobar alivyojifunga na siku 10 baadae akapoteza maisha.
Ntafanya hivyoItafute hiyo movie hutojutia ingawa ni ya kizaman lakin ni bonge la movie
Usifohu hutadhurika, ukatembee tuHilo ni tatizo kubwa sana
Mi huwa napenda culture yao natamani siku moja niende vacation halafu nikiwa room nisikie music kwa mbaliii nikichungulia dirishani nikute kumbe nimeletewa band inaniimbia yani siku hiyo... Sitalala kwa furaha
Lakini tatizo amani hawana ya kutosha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276]
Kuwa makini kijana
Sijaelewa Esteban gani
Yani jamanii![]()
![]()
![]()
![]()
WaliBET pesa ya sikukuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...........