Hawa Mafia aiseeNumber 1,
![]()
Hawa wanaishi huko kwenye kisiwa kati ya India na Thailand
Wao hawajulikani maisha yao kwan hakuna aliye wahi kuwasogelea alaf mshale wa sumu uka mkosa, wameish zaid ya miaka 60,000 hapo hapo kwenye kisiwa
Picha hiyo walipgwa mwaka 2004 wakati wa tsunami na waligoma kutoka na bado wali survive
Inadhaniwa wanaish kwa kuvua samaki, kuwinda na pengne kulima
Ni moja ya watu ambao hawajawahi kumuhifadhi hai mgeni wao yyte
Hivo hawa ndo watu walio jitenga zaid kuliko woote
Ni sheeederKivipi mkuu wakati ni namba 10 au huyo wa pili kutoka kulia ndo kiboko?
Wamasai jeJaman nawaheshim woote
Asanten sana , leo nme leta top ten za kusoma zaid mjikaze
Mlikuwa nami Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma
Na sign off hadi wakat mwngneee
Salama, habari ya wewe mkuuMmeshindaje wadau?
Mzee wa banJohnax
Poa mkuu, habariMmeshindaje wadau?
Ha ha haWakilipa nyingi napandisha dau....![]()
![]()
Mi niko poa kabisa mkuuSalama, habari ya wewe mkuu
Leo anamawazo ya ban tuMzee wa ban
YaaaniNaona kabila lako halipo top ten![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bora yeye lakini, ile ikiwa kwenye kifungo hii ipo, akinasie ndo wenye shidaLeo anamawazo ya ban tu
Inakupendeza sanaaaaAvatar yangu ya City boy siwezi kuiacha kamwe..
Hapana mkuu ntapumzika kidogo ntarud baadae, cobblepots kitambo sana aisee
Wewe unataka sumbai ajiuzulu kuishi na wakati huo huo unataka kumpandisha jambilo presha.Patience123 am dying hard for u
Karibu sana mzee wa maloveeePoa mkuu, habari
Asante sana Mkuu.
Habari ni njema kabisaPoa mkuu, habari