Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mimi je??Hapana..sidhani..
Mimi je??Hapana..sidhani..
Asante. Nawe piaUsiku mwema waungwana. Kesho ni siku pia.
Bishoo wa MabiboAnhaaa
Poa mkuuu
Bas nta tafta kajina flan hvi ka kiheshima
Fanya uchunguzi kama una nia ya kurudiana nae ndo ufanye maamuzi. Nafsi inahitaji nini, ndo kitu cha kufikiria. Pole sana braza.Kama tulivyojifunza kupitia maandiko ya kwenye khanga na misemo yya kiswahili kwamba kila shehtan na mbuyu wake basi iltokea shehtani mimi nilikutana na mbuyu wangu of whom tulipendana hadi nikasema poo! Ila nahisi kuna pepo wa aina yake alipita yapata miezi kumi na moja sasa bila maelewano na kufupisha mambo nikaamua niache mambo yajiendee tu!....nikatafuta mnyonge mwenzangu tukaamua tuendelee tu kushikilia vijiti huenda tukapendana mbele kwa mbele...sasa likizo ya bila upendo ya mbuyu wangu imeisha na anataka kurudi! Ushauri, nimpokee ama nimpotezee ikizinggatiwa kwamba moyo wangu tayari upo kwenye kipindi cha mpito kujaribu kumpenda wa majaribio?
Utakuta mtu analalamika hana uwezo wa kusomesha kijana wake alafu unamkuta anapelekea hela walioshiba hela..Hahaha
We hata bongo angalia
Lwakatare
Gwajima
Wa upako
Mwingira
Ndegi
Goedavie
Wana pesa kwel kwel
Nashukuru dada.Asante. Nawe pia
Wapi namba 4??Anhaaa
Poa mkuuu
Bas nta tafta kajina flan hvi ka kiheshima
Pamoja sana.Majukumu tu
Out nani kakuambia.. mbona ame-qualifying!View attachment 359126ureno out

Kuna mawiliKama tulivyojifunza kupitia maandiko ya kwenye khanga na misemo yya kiswahili kwamba kila shehtan na mbuyu wake basi iltokea shehtani mimi nilikutana na mbuyu wangu of whom tulipendana hadi nikasema poo! Ila nahisi kuna pepo wa aina yake alipita yapata miezi kumi na moja sasa bila maelewano na kufupisha mambo nikaamua niache mambo yajiendee tu!....nikatafuta mnyonge mwenzangu tukaamua tuendelee tu kushikilia vijiti huenda tukapendana mbele kwa mbele...sasa likizo ya bila upendo ya mbuyu wangu imeisha na anataka kurudi! Ushauri, nimpokee ama nimpotezee ikizinggatiwa kwamba moyo wangu tayari upo kwenye kipindi cha mpito kujaribu kumpenda wa majaribio?
Tuanze basiHahaha
We hata bongo angalia
Lwakatare
Gwajima
Wa upako
Mwingira
Ndegi
Goedavie
Wana pesa kwel kwel
Kweli kabisa haya manenoNdio ubaya wa taifa zima kutegemea mchezaji mmoja awatoe kimasomaso..
MajipuYeah
Ujue taasisi za kidin zba endshwa kibinafsi sana
Sasa ikiwa kubwa ndo unakuta wana waumbua kama hvo
Naomba radhi kwa ttzo hloWapi namba 4??
Asante sana Top 10 ilikuwa nzuri sana
Ahaaa.... kumbe ndo maana.Namuonaga wa kawaida tu
Niliwahi kusali pale kipindi cha nyuma sanaHahahaa
Kweli unawajua
Huyu jamaa ni super rich hatareee
Umeona eee....???Kweli kabisa
HahahaTuanze basi
Huenda na sisi tukatoka