Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna mawili

Ukimwacha ulo naye now ni kama humtendei haki, ila pia kama humpendi utakuwa ume msaidia sana, ni ngum kukaa na mtu alaf madhan mtajifunza kupendana mbele huwa ni shda tuu


Unaweza ku mrudia huyo umpendaye kwa that, ila historia inaonesha watu wengi wenye tabia ya kuchana na kurudiana mzunguko huwa hivo hvo mpka mmoja aamue kuacha kwa ujumla, lakin ni vzuri kwa upande mwngne kwani ni mtu unaye mpenda, kupendwa na anaye kupenda ni raha pia

So hapo piga mahesab alaf amua
Huu ushauri ni mzuri sana

Mi namshauri ausikikize moyo wake tu unavyomwambia
 
Fanya uchunguzi kama una nia ya kurudiana nae ndo ufanye maamuzi. Nafsi inahitaji nini, ndo kitu cha kufikiria. Pole sana braza.
Sina sababu ya kuchunguza moyo na hata nikiunda tume maalum ya uchunguzi bado majibu yatakuja yale yale kwamba nampenda!...daah upendo hauna bouncer wadau...unaweza kupenda hadi ukajikuta unalia meeeeh kama mbuzi wa hitma!
 
Kuna mawili

Ukimwacha ulo naye now ni kama humtendei haki, ila pia kama humpendi utakuwa ume msaidia sana, ni ngum kukaa na mtu alaf madhan mtajifunza kupendana mbele huwa ni shda tuu


Unaweza ku mrudia huyo umpendaye kwa that, ila historia inaonesha watu wengi wenye tabia ya kuchana na kurudiana mzunguko huwa hivo hvo mpka mmoja aamue kuacha kwa ujumla, lakin ni vzuri kwa upande mwngne kwani ni mtu unaye mpenda, kupendwa na anaye kupenda ni raha pia

So hapo piga mahesab alaf amua

Mkuu busara hapa hazihitajiki,zihifadhi kwa matumizi mengine ya kujenga taifa...nafikiri sitakuwa muungwana kuendelea kupretend kupenda mtu back ilihali ukweli moyo upo kwingine...wanaume wengi huoa wanawake wanaowapa furaha...ila kuna wachache huwa hufurahi kujikuta wana furaha baada ya kuoa watu wasiowapenda...nachagua A...Kuoa mtu anayenipa furaha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom