EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Sema shida braza.Leo natamani kuomba ushauri...
Sema shida braza.Leo natamani kuomba ushauri...
MmmmhNumber 6, Creflo Dollar Net Worth 2016 – $27 Million
![]()
![]()
Ana miliki ki rolls royce chake kama cha us dollar 2 million
Yeye ana jet yake pia
![]()
Ana jumba la abillion huko marekani, pua anachunguzwa kwa kuto kuwa muwazi na mapato yake huko mchini marekan
Mnamo mwaka jana aliingiza dollar 3.7 million kwa kuuza vitabu , vyake
Sio bureDuuh...mchungaji tena hawi muwazi? hatari...
Ulipotea ghafla.Ndio alichofanya amezipost moja moja
Nko hapa.. omba ushauri wako sasa..Leo natamani kuomba ushauri...
Huo mkanisaNumber 5, E. A .Adeboye Net Worth 2016 – $39 Million
![]()
![]()
Sehem ndogo ya washarika wake![]()
Jet yake ya matembez town
Ni profesa wa mathematics chuo kikuu cha lagos ana aminiwa kuwa na matawi zaid ya 14,000 nchini nigeria pekee
Ana kadiriwa kuwa na magari ya kifahari takriban 16

Mchungaji na kashfa ya kukwepa kodiNumber 5,![]()
![]()
Hiki ni kibanda chake cha $12 million kilichopo kwenye fukwe maarufu za oceanfront hacienda huko southern California,
![]()
Jet yake ya kupugia mizunguko
Yeye ana fanya huduma za kuzunga kuhubir sehem mbali mbali dunian, japo shirika la FBI lina mchunguza kwa tuhuma mbali mbal ikiwemo ukwepaj wa kodi bado yeye ni kiboko ya utajiri
Kwanini umesema hivyo?Sijuhisi kama kwenye yaliyomo yamo huyu nae yumo
Sio mchezoNumber 3, . Chris Oyakhilome Net Worth 2016 – $50 Million
![]()
![]()
Moja ya kanisa lake hapo
![]()
Huyu yeye alinunua kampuni nzima ya ndege na kuiita Sky power
Ana televisheni yake ya LoveWorld ambayo huwa na 2.5 million views per nightly event. Na ndo televishen ya kwanza ya aina yyte kutoka Afrika kurusha matangazo yaliyo onekana dunia nzima kwa sattelite ya kawida
Naye ana fikiriwa kukamtwa huko South Afrika kwan hudai ana ponya watu HIV/AIDS na pia ana kashfa kuwekeza pesa uswisi
Kuna kitu.Sio bure
Naona vile wapopoo wanavyotikisaNumber 2, . Bishop T.D. Jakes Net Worth 2016 – $147 Million
![]()
![]()
Nyumba anazo miliki ambazo ni za mamilioni
![]()
Gari yake ya kutembelea angani
Askofu, muimbaji na mshindi wa tuzo za grammy na Oscar
Ni billionea kwa kuuza album zake za nyimbo za injili pia, na ana vipindi vyake vya televishen huko texas, kanisa lake lina itwa Pitter,s hose Mega church na ana asili ya Nigeria pia kwa mujibu wa vipimo vya DNA yake
Hawa jamaa ni wa kuogopaAisee...wachungaji wana ukwasi wa hali ya juu sana...
Heee... Kwani ni lazima tuseme hilo neno?Nikiri kwamba mimi ni mkongwe mwenye meno 32 na nyongeza ya mawili na kwamba nimekuwa mstari wa mbele kwenye kuzodoa wanaokuja kuomba ushauri nasaha hapa kuhusu masuala ya kutafuta wachumba and so forth...ila nami yamenifika! Kama mko tayari kunishauri mseme tawire!
Waangalie wasije wakatumika Kama kuni za kutuunguza sisi huko kunakoitwa jehanam..Aisee...wachungaji wana ukwasi wa hali ya juu sana...

Nimejikuta naitamania bure, ndo maana Masanja Mkandamizaji anaifanya.Hii mambo kumbe inalipa
Winners haoNumber 1 ,Bishop David Oyedepo Net Worth 2016 – $150 Million
![]()
![]()
Sehem ta kusanyiko la kanisani kwake hapo lagos
![]()
Hili ni kanisa jipya analo lijenga huko ota-ogun state Nigeria
Ana kanisa linalo chukua watu zaid ya 50000 kwa wakat mmoja , ana Airline yake inayo itwa Dominion airline ana makanisa zaid ya nch 45 duniani, ana miliki hospitali, shule na kampuni za mabasi huko nigeria na marekani
Aliwahi kuingiza mabasi 300 kwa siku moja huko Nigeria
Yeye ni mtumish wa bwana tajir kuliko wote dunian alitoka marekan na akarud kwao Nigeria akisema Mungu ame mtuma akawafanye wanaijeria wawe matajiri
.kwa sasa ana jenga nyumba ya Naira 250 billion huko Nigeria ili. apate naye sehem ya kuish
#nikija kuwa mkubwa na mi nadhan ntafungua kanisa
Asante sana mkuu, wapopoo wametisha sanaJaman it was long and tiring sesseion but i hope mme enjoy
Mpake kesho wakt kama huu tena
Ulikuwa nami
Szczesny Carrenza de le Casa de la Fuma
Tchaoooo
Muwe mna enda kanisan mtoe na sadaka
Am sorry gwajima hayupo top ten lakn
Hapana..sidhani..Mimi hapa.
Asanteeee