Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu busara hapa hazihitajiki,zihifadhi kwa matumizi mengine ya kujenga taifa...nafikiri sitakuwa muungwana kuendelea kupretend kupenda mtu back ilihali ukweli moyo upo kwingine...wanaume wengi huoa wanawake wanaowapa furaha...ila kuna wachache huwa hufurahi kujikuta wana furaha baada ya kuoa watu wasiowapenda...nachagua A...Kuoa mtu anayenipa furaha...
Fuata moyo wako unataka nini.
 
Mkuu busara hapa hazihitajiki,zihifadhi kwa matumizi mengine ya kujenga taifa...nafikiri sitakuwa muungwana kuendelea kupretend kupenda mtu back ilihali ukweli moyo upo kwingine...wanaume wengi huoa wanawake wanaowapa furaha...ila kuna wachache huwa hufurahi kujikuta wana furaha baada ya kuoa watu wasiowapenda...nachagua A...Kuoa mtu anayenipa furaha...
Kila unachofanya kaa chini andika faida na hasara
Alafu amua
Uamuzi wako ndo bora ila hakuna atakaye kwambia mwache huyu nenda kwa huyu
 
Kama tulivyojifunza kupitia maandiko ya kwenye khanga na misemo yya kiswahili kwamba kila shehtan na mbuyu wake basi iltokea shehtani mimi nilikutana na mbuyu wangu of whom tulipendana hadi nikasema poo! Ila nahisi kuna pepo wa aina yake alipita yapata miezi kumi na moja sasa bila maelewano na kufupisha mambo nikaamua niache mambo yajiendee tu!....nikatafuta mnyonge mwenzangu tukaamua tuendelee tu kushikilia vijiti huenda tukapendana mbele kwa mbele...sasa likizo ya bila upendo ya mbuyu wangu imeisha na anataka kurudi! Ushauri, nimpokee ama nimpotezee ikizinggatiwa kwamba moyo wangu tayari upo kwenye kipindi cha mpito kujaribu kumpenda wa majaribio?
Mhh braza mpaka hapo inaonekana kabisa moyo wako bado upo kwa yule wa zamani so ni vema ukarudiana nae kuliko kuendelea kuwa nusunusu huku kwa sasa.

Swali la kizushi:
Japo hujasema kisa cha huo mgogoro lakin ni nani aliyempa likizo mwenzie kati ya nyie wawili? Jibu unaweza kubaki nalo tu.. teh

Kama ni wewe uliyetoa hiyo likizo basi sina shaka sana na kurudi kwake ila kama ni yeye ndo aliyetoa hiyo likizo itakua zile moves zake na alternatives zote ziligoma kule upande wa pili so hakuwa na namna zaidi ya kujirudisha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom