Mimi hapaHivi kuna kapuku anatembeza ''like" Kama mie humu![]()
![]()
![]()
Na sukari ya magendo+pembe za ndovu
Ndio hivyoJaman naskia ronaldo ka ng'atuliwa huko EURO
Ushahidi+pembe za ndovu
Uongo tuJaman naskia ronaldo ka ng'atuliwa huko EURO
Hahahaaa....Nzuri sana baba mchungaji,nasubiri nikuone kwenye top ten![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu naomba usiwe unaniita Presida kuna pipo zinaona gere utafikiri mm najiita hivyo wkt hakuna palipoandikwa RAIS WA MAKAPUKUAsante prezdent
Asanten kwa kumek forum kama hvi tuna enjoy na kushusha stress
And thanks kwa kuipkoea vzuri segment hii
Mimi hapa.Hivi kuna kapuku anatembeza ''like" Kama mie humu![]()
![]()
![]()
Hahahaaa....Ya 98763563738
Asante sana kaka, japo namba nne haikuwepo lakini nimeinjoyi sana. Ubarikiwe.Jaman it was long and tiring sesseion but i hope mme enjoy
Mpake kesho wakt kama huu tena
Ulikuwa nami
Szczesny Carrenza de le Casa de la Fuma
Tchaoooo
Muwe mna enda kanisan mtoe na sadaka
Am sorry gwajima hayupo top ten lakn
Unga wa ngano au Sembe?Wauza unga
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Sijuhisi kama kwenye yaliyomo yamo huyu nae yumoNumber 9, Prophet TB Joshua Net Worth 2016 – $10 Million
![]()
![]()
Yeye ana maelfu ya washirika huko lagos, pia hufaidika kwa kuuza maji yake ya upako yaan "annointing water" ana angaliwa na zid ya mamilioni duniani kwejte televisheni yake ya Emmanuel
Kuna vifo vingi vumeripotiwa hasa uingereza kwa wagonjwa wa UKIMWI kuacga ARVs na kudai wamefunguliwa na huyu bhana, pesa zake ki bongo bongo ni
Shillingi 21926500000.0000
Pia viongoz wengi wa bongo washaenda kwake
Akuwemo eddo ambaye ni mtu wake wa nguvuu
![]()
Mkuu naomba usiwe unaniita Presida kuna pipo zinaona utafikiri mm najiita hivyo wkt hakuna palipoandikwa RAIS WA MAKAPUKU
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..........

....Ndio alichofanya amezipost moja moja
Hii mambo kumbe inalipaNumber7, Kenneth Copeland Net Worth 2016 – $25 Million
![]()
Hii ndo jet yake binafsi ya matembez akiwa towan, lakin nmeshindwa kupata picha yeke mwenyewe
Yeye anaish kwenye ka kibanda kake kenye thaman ya dola $6.3 m
Alianza huduma miaka ya 1950 alipo kuwa msanii wa nyimbo xa injili na hutengeneza pesa kwa uimbaji pia , familia yake inamilik shares za TV maarufu ya kidini inayo itwa T BN