EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Ila unaadimika sana.Nipo my shem
Ila unaadimika sana.Nipo my shem
Goli la kisigino litakalomvusha hatua ya kuelekea MoroccoUtaachaje kupata rahahasa unapomuona Cr7 katupitia goal kwa kisigino..
![]()
![]()
![]()
Kimenyonyaaaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Goli la kisigino litakalomvusha hatua ya kuelekea Morocco
nmecheka sanaaaaMpaka michuano imalizike atakuwa amekuwa wa kwanza hapo![]()
Kaongeza mawili
We toa povu tu bado moja akae kileleni
...........

Uso kwa uso na Croatia mtoano![]()
Portugal kapita kibest losser
...............
Ndo maana yake anahitaji goli mbili kuvunja recordMpaka michuano imalizike atakuwa amekuwa wa kwanza hapo
![]()
![]()
![]()
![]()
Shemu nipoIla unaadimika sana.
Hahahaaa....
Lengo lao UEFA ni kupandisha timu orodha ya FIFA sababu michuano hii ina point hivyo ukicheza mechi nyingi utapata point nyingiHii euro imekaa kama Kagame cup, mambo ya best loser yanaondoa ladha.
Mi nimempaUmeona eeh?? Leo amenoga sana

Chukua mkuuHahahaaa....
anastahili.Mi nimempa![]()
Hata mm nimeshangaaHii euro imekaa kama Kagame cup, mambo ya best loser yanaondoa ladha.