Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Hhahaha , sometimes walimu wasumbufu sana,yani anaweza kukuonea tu bila sababu.Hahaha nami kuna teacher alinizinguaga sana, ck moja paredi nkamtokea na Ile stiki ya ngoma, alikimbiaje! Kuanzia co Ile tukawa mabest
Kumbe na zenyewe zinafugwa?