Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Hainiumi kwavile siwachukii England ila tu siwashabikiiHahaha hata wewe roho inakuuma kuona Wales na England tupo 16
Hainiumi kwavile siwachukii England ila tu siwashabikiiHahaha hata wewe roho inakuuma kuona Wales na England tupo 16
Asante mkuuKwema bablai...usiku mwema!!
Ilikuwa shidaaaaThe promise
NiajezKupumzika kwema wakuu
Nite niteUsiku mwema family
Hulali tu?Nite nite
???Tamuwekaje sawa ikiwa sifahamu wapi kakosea???
???Yanajulikana waziwazi hapahapa na SISEMI NINAYOAMBIWA PM
km bado hujamshtukia waulize wenzako hata PM kisha kaushia
. . .....
Ntalala dakika chache zijazoHulali tu?
Afu ushatimiza mwaka mmoja tayari
Ila na wewe ulale sasa... Kesho ni siku ya kaziHulali tu?
Afu ushatimiza mwaka mmoja tayari
It's over kakakeMkuu hapa umekengeuka kabisa nimepata ukakasi sana haswa kwenye maneno yako ya awali hapo ...Ungeweza kutumia namna ingine na ujumbe ungemfikia mlengwa tena kistaarabu sana...Tusikubali kabisa kuvunja undugu na ujamaa tulioujenga kupitia hapa kwani hata members wa hapa KAPUKU tukikutana kwenye majukwaa mengine tunakuwa na ile feeling ya undugu....Na nikushauri kitu Prezda labda hata na mimi kuna mtu nimemkwaza hapa kwa namna moja au nyingine bila mimi kujua mtu huyu kwanza yapasa aniambie mimi hata kwa PM kuwa unanikwaza na sipendi 1,2,3..Akiona sisikii anaweza kureport ishu kwako..Na wewe lazima ukalie kiti na nafasi yako kwa hekima na busara iingia huko PM niambie kuna 1,2 ,3 hakika nitakuwa msikivu maana lengo hapa si kukwazana kwa namna yeyote ile ni kijiwe cha kufanya tucheke tufurahi wakati maisha ya upande mwingine yanaendelea...So please itakuwa vizuri na Member wengine waache uwoga ama unafiki nikikuuzi niambie straight forward tu ili kuepusha mpasuko hapa kijiweni..Naomba nenda PM na Jambilo mwambie 1,2,3 kuwa ni member yupi huyo amelalamika then mmalize na maisha yaendelee kama kawa ida hapa..
Wow hilo sikujua...... Heri ya kutimiza mwaka mmoja kwanguHulali tu?
Afu ushatimiza mwaka mmoja tayari
????Mkuu siku zote mahali penye watu wengi panakuwa na mengi pia,
Kumbuka hapa tuko watu tofauti tukiokulia na kulelewa katika malezi tofauti pia,
Wengine wanapenda utani, wengine hawapendi,
Wengine tunapenda ila usizidi kipimo
Nadhani sio watu wote wenye ujasiri wa kumpa mtu ukweli pale wanapoona mambo sio, labda ndio maana walilalamika
Pia nimeona kama umexegarate kidogo ukamhusisha mpaka pattience
Relax and have a glass of wine
One love
Patience123 uko wapi mpenzi wangu
Acha tu![]()
Pale ukifaru unapozidi
![]()
![]()
![]()
.....
![]()
Kifaru wa wapi huyu
.......
Here for you you my sweetheart... Lol nimesahau
Hivi kweli wewe ni mtu nzima ....nimechoka ukifaru wako wa masaa 24 ukiambiwa hujirekebishi ndio sababu wadada wanakimbia thread 7bu ya ukifaru wako
Mimi km Kiongozi kazi yangu kuweka mambo sawa ....sipendi kuona thread inapoteza heshima sababu ya mtu mmoja
Km huna kitu cha kupost bora ulale
Nina malalamiko mengi PM kuhusu wewe inasumbua watu
...............
Haya sasa usiku mwema!!!Wow hilo sikujua...... Heri ya kutimiza mwaka mmoja kwangu
Asante sana