Utaingiliwa na sisimizi shauri yakoHivi ni kweli kesho no kuvaa pants day?
Kushinda tushinde sie roho zinawauma nyie.... MajangaaaHahahah povu la nini sasa.
Mmeshinda kwa bahati
Hahahaaa...Mbona tutakimbia forum!!!....ina maana nikianza kuzoza na Lizzy watu wanapanic mkuu???....ndiioo maana kuna member aliniita Licongo!!!....duh maajabu!!!![]()
![]()
Furesh mwanangu kapuku mnyongeJaman gud nyt leo kwangu mtandao mchafuuu yaan inaleta tabu
Mlale salama, thanks woote walo nijb msg zangu na walonitembezea ma like ya kutosha
Peace![]()
Enzi zile nilikuwa sipitwi, kila muda ukifika lazima niwe jirani na televisionEnheeee
Wivu![]()
ukawa zaidi. Ila mmebahatisha
Hahaha hata wewe roho inakuuma kuona Wales na England tupo 16Kushinda tushinde sie roho zinawauma nyie.... Majangaaa
Kwani uongoWivu
Utaingiliwa na sisimizi shauri yako
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Unamaanisha no kuvaa au ni kifaa?
Ni hakika na kweli madame.Mi mzima sana
Safi kama upo, majukumu nayo ni muhimu ili![]()
![]()
zipatikane
Shemdarling nataka nikufuate ili nikulete kwangu ulale kwa usiku mmoja then kesho mapema nakurudisha. Tayari nimeshapata usafiri nilioletewa na kaka'angu Mshana Jr.Shem watu wa Hekima wanasema hivi;
Kunyamaza kunaepusha mengi na kunaleta heshima
Just cool down na maisha yaendelee
"Let love leads us"

Hicho nacho ni muhimu kujua ili nielewe vizuri![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaan ndo ulichoka daka hkoo
Eeeh, yeye kila kituu ni kifupi, ndo maana akachukua rekod hyo ya ufupi duniani
Nimefurahi sanaaaaaaUkifurahi wewe tuu mi kwangu i feel blessed
Pamoja sana kaka.Usijali mkuu, nina amani ya kutosha sasa, mniwie radhi kwa hisia hizo, i wish isinitokee tena