Kwema bablai...usiku mwema!!Habari mkuu
NiteKwema bablai...usiku mwema!!
Usilale bana, unauacha uzi kama yatima kule?Usiku mwema family
Mwili unataka kupumzika sasa.Usilale bana, unauacha uzi kama yatima kule?
hahaha...unamchokoza Th Name
Usijali bob, upatie mwili kitu unataka. NytMwili unataka kupumzika sasa.
Wale ni majirani zetu!
Asante kwa time yako mkuu, natambua mchango wako!! Be blessed!!Number 1, Chandra Bahadur Dangi - 21.5 inches
![]()
Mnamo mwaka 2012 huyu ndo aliweka rekod kwenye kitabu cha genesis
Alizaliwa mwama 1939, ana ugonjwa wa premodial dwarfism, ambao una mfanya kila kitu kwenye mwili wake kuwa kifupi
(i mean kilaa kituu)
Na alipo ulizwa kama hakujua kuwa ni rekodi kwa miaka yote alisema kwakuwa yeye kazaliwa nepal vijijin asingweza kuwapata hao watu wa kumpima na ndugu zake wote hawajawahi kwemda shule so hawakujua kabsa mambo ya rekodi ya dunja
Na huyo ndio namba moja wa leo
Cant wait..... Anza keshoMe nakuja top ten za fix
Ndio na spanish ya kuzugia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Safi wewe ni mfuatiliaj wa mambo
Asante sana bablai!!Asanten sana kwa kuwa nami, nimezipata kwa shida sana top ten za leo kwan kuna mattzo ya kimtandao
Mpaka hapo kesho wakt kama huu
Ni mimi
Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma
Adioooous amigoooouw
Asante. Usiku mwema na kwako piaHahaha
Yaan hata siwez, hilo lajulikana
Uskumwema mama la mama
Mtandao unazongua kwel kwel post moja ina kaa dakka kumi loooh!!
Clp well
Peace and loveJaman gud nyt leo kwangu mtandao mchafuuu yaan inaleta tabu
Mlale salama, thanks woote walo nijb msg zangu na walonitembezea ma like ya kutosha
Peace![]()
