Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu sumbai na jambilo, Bitoz hebu hii issue tuiweke pending coz tupo immotional, tukisha relax tui-forget na kisha kuipotezea turudi kama zamani.

Tusameheanea na kila mmoja ajifunze kwa kilichotokea.

Glass zinagongana kabatini sembuse sisi???

One love, together kama kawa!!!

Strong people forgive n forget
One Love
 
Number 1, Chandra Bahadur Dangi - 21.5 inches
f726ca2fa70021c036bf2bced9b177c5.jpg


Mnamo mwaka 2012 huyu ndo aliweka rekod kwenye kitabu cha genesis
Alizaliwa mwama 1939, ana ugonjwa wa premodial dwarfism, ambao una mfanya kila kitu kwenye mwili wake kuwa kifupi
(i mean kilaa kituu)
Na alipo ulizwa kama hakujua kuwa ni rekodi kwa miaka yote alisema kwakuwa yeye kazaliwa nepal vijijin asingweza kuwapata hao watu wa kumpima na ndugu zake wote hawajawahi kwemda shule so hawakujua kabsa mambo ya rekodi ya dunja

Na huyo ndio namba moja wa leo
Asante sana kwa hii

Ubarikiwe zaidi na zaidi ili kesho utuletee 10 nyingine
 
*When you dating an educated and civilized woman who has class and ambition, you get texts such as these:*

1. Morning Dear, Hope you had a wonderful night. How are you today? Wake up get ready for work. Dont forget to send your application for the job I told you about yesterday.

2. Yes Darling, I miss you so much, i hope you're enjoying your day, I am heading out for lunch. Talk later. Take care of yourself. Love you!

3.Yes dear I am at the shop doing grocery for the house, next time I am coming with you.

4.Dont put yourself under pressure my love, i know you will achieve your goal, you have my full support.

*THEN THOSE WITH JUST A BIRTH CERTIFICATE*

1. Morning babe, send me some airtime, plz bae.

2. Hello sweet babez I am coming over for some pizza over lunch? And someone is selling nice perfumes can I take one plz. Luv u xoxoxo much.

3. Hey handsome, buy me data plz. Also wanted to tell you my neighbor is selling skinny jeans, nice shoes from USA and brazilian hair. You will let me know when you are ready to get me these. Loving u lots.

4. Me and my friends want to go to Cafe javas for drinks, I need some money.

5.baby I don't feel like reading, can we chat pliiiizz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom