sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mwambie huyooooooo.....dahMimba ni yangu, Ingekuwa yako ungeibeba wewe eti
Mwambie huyooooooo.....dahMimba ni yangu, Ingekuwa yako ungeibeba wewe eti
I came for it...Lakini unajua kulilia muhogo balaaa
Ndg. Unajifahamu kuwa madamu hukuachaga ndani ya miezi 2, kwa ajili ya kibamia, punguza maneno kwani utaaibika sooonUsimpe huyooo....atamharibu tuu
Hahahahahahahahahhahahah dafafafshshjdgsfsfahafsfsgsystfwqrrrrrrrrrraraa.....Ndio maana nakupenda, umebaki faraja yangu humu
Hamnitakii mema....
Hahahaaa...Kachezea bahati kabisaa ngoja awe Prado sasa
Mtarajiwa huyoDada..
Ndg. Unajifahamu kuwa madamu hukuachaga ndani ya miezi 2, kwa ajili ya kibamia, punguza maneno kwani utaaibika sooon
Slow learner weweMwemyewe sijaelewa....hapa
Kaa mbaaali kijanaNa wewe njoo kwangu upate raha.
![]()
![]()
![]()
Mbona wew mwiziWachepukaj utawajua tuu
Kuwa makini nahrene atakuacha tena uamze kulia lia
Hahahaha nan mtarajiwa?? Linamo....Mtarajiwa huyo
Chezea vingine vyote ila usichezee bahati![]()
![]()
![]()
Slow learner wewe
Kaa mbaaali kijana
Weweww achaaa fujo, vinginevyo darajani nakublockNakusalimia dada angu...Na nina penda kuona ukiwa salama salmini...So usisite kuniambia pindi uonepo shida kutoka kwa mtu yeyote yule...